Tujikumbushe: Ujenzi wa Daraja la Jangwani kuanza Desemba 2022

Tujikumbushe: Ujenzi wa Daraja la Jangwani kuanza Desemba 2022

Huwa sipendi maneno mengi

View attachment 2812630
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa serikali ikiwa ni pamoja na fedha na mabadiliko ya vipaumbele, utekelezaji wa mradi huu mkubwa na muhimu kwa uchumi na wakaazi wa jiji la dar es salaam, utaanza kutekelezwa mwaka ujao wa fedha.

Tayari EU, WB, ADB, serikali na wadau wengine wa maendeleo wamekubali kufadhili mradi muhimu. Na kwa wakati muafaka mradi huu utaanza kutekelezwa kwa awamu na hauta simama. Matarajio ni kwamba mradi ukamilke mapema iwezekanavyo na ukabithiwe serikalini mapema2026.
 
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa serikali ikiwa ni pamoja na fedha na mabadiliko ya vipaumbele, utekelezaji wa mradi huu mkubwa na muhimu kwa uchumi na wakaazi wa jiji la dar es salaam, utaanza kutekelezwa mwaka ujao wa fedha.

Tayari EU, WB, ADB, serikali na wadau wengine wa maendeleo wamekubali kufadhili mradi muhimu. Na kwa wakati muafaka mradi huu utaanza kutekelezwa kwa awamu na hauta simama. Matarajio ni kwamba mradi ukamilke mapema iwezekanavyo na ukabithiwe serikalini mapema2026.
Au VITA vya Ukraine na Russia viliathiri pia hizi mambo
 
Ukiweka uni tag niipitie

Ova
Mkuu tayari nimeipata post yenyewe...niliyoiweka hapa JF tarehe 17/07/2018

====
Kuna wakati niliwahi kuwaza kuwa kuwa tuchimbue na kuzamisha kina cha mto

1. Msimbazi tuunganishe na Bahari kupitia pale Salender Bridge. Tujenge ukuta pale daraja la salender lenye Geti, maji yakija (kujaa) tuyaruhusu kuingia na ya kiondoka (kupwa) tunafunga hydro turbine ya kufua umeme hapo kwenye geti na tunafungulia maji yanaanza kuzungusha turbine na tunapata umeme rafiki kabisa.

2. Pia tunaweza kuyafungia huku huku juu bila kuyaruhusu maji hayo wakati wa kupwa , sasa mto uliosafishwa na wenye kina ukatumika katika utalii kwa kuweka boti humo watu wanazunguka kutoka salender, muhimbili, jangwani...tunaweza tukatanua hilo bonde mpaka kigogo...! NA hapa serikali ikapata ela ya kuboresha miradi ya maendeleo kwa watanzania wote.

3.Twaweza pia, kuhakikisha maji taka yote tunayapitisha kwenye bomba moja kubwa na yakamwagwa kilindini huko bahari, na hakuna mtu wala kiwanda kutupa taka kwenye mto huo bira kupitia bomba hili. sasa tukiwa na maji ya mto safi tunaweza kufuga samaki humo, tukawa na uhakika kabisa wa kitoweo safi.

Kupanga ni kuchagua.

Ninadhani hawa wanaowekeza kwenye magari ya usafirishaji, visima vya mafuta nakadhalika wangemega kidogo wakawekeza kwenye project hii kwa kushirikiana na serikali wangepiga hela sana.
 
Au VITA vya Ukraine na Russia viliathiri pia hizi mambo
Mh.speaker napenda kujibu swali dogo la nyongeza la mh.@"Elli, kama ifuatavyo.
Vita vya Ukraine na Rassia havina uhusiano wowote wa mojakwamoja na kuchelewa kwa utekelezaji wa mradi huu muhimu. Serikali bado ina nia dhabiti ya kutekeleza mradi huu muhimu mapema kulingana na upatikanaji wa fedha, ambazo kama nilivyoeleza kwenye jibu langu la Msingi EU, WB, ADB ziko tayari kufadhili mradi huu, na tunatarajia mradi ukabithiwe serikalini mapema 2026.
 
Back
Top Bottom