Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa serikali ikiwa ni pamoja na fedha na mabadiliko ya vipaumbele, utekelezaji wa mradi huu mkubwa na muhimu kwa uchumi na wakaazi wa jiji la dar es salaam, utaanza kutekelezwa mwaka ujao wa fedha.
[emoji1] movie imerudishwa
Aise,ulipost humu jf auNiliwahi kuleta proposal kuhusu moto Msimbazi unavyoweza kunufaisha Taifa.
Ndiyo, Mkuu. Nilipost humu. Naitafuta na mimi niiweke kujikumbusha.Aise,ulipost humu jf au
Ehe ilikuwaje mkuu
Ova
ukute pesa inatoka kabisa na ujenzi unafanyika[emoji1] movie imerudishwa
Mvua zikiisha mradi nao unapotea
Ova
Basi pesa llifanyiwa matumizi mengineukute pesa inatoka kabisa na ujenzi unafanyika
Ukiweka uni tag niipitieNdiyo, Mkuu. Nilipost humu. Naitafuta na mimi niiweke kujikumbusha.
Au VITA vya Ukraine na Russia viliathiri pia hizi mamboKutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa serikali ikiwa ni pamoja na fedha na mabadiliko ya vipaumbele, utekelezaji wa mradi huu mkubwa na muhimu kwa uchumi na wakaazi wa jiji la dar es salaam, utaanza kutekelezwa mwaka ujao wa fedha.
Tayari EU, WB, ADB, serikali na wadau wengine wa maendeleo wamekubali kufadhili mradi muhimu. Na kwa wakati muafaka mradi huu utaanza kutekelezwa kwa awamu na hauta simama. Matarajio ni kwamba mradi ukamilke mapema iwezekanavyo na ukabithiwe serikalini mapema2026.
special assignmentBasi pesa llifanyiwa matumizi mengine
Ova
Mkuu tayari nimeipata post yenyewe...niliyoiweka hapa JF tarehe 17/07/2018Ukiweka uni tag niipitie
Ova
Kuna wakati niliwahi kuwaza kuwa kuwa tuchimbue na kuzamisha kina cha mto
1. Msimbazi tuunganishe na Bahari kupitia pale Salender Bridge. Tujenge ukuta pale daraja la salender lenye Geti, maji yakija (kujaa) tuyaruhusu kuingia na ya kiondoka (kupwa) tunafunga hydro turbine ya kufua umeme hapo kwenye geti na tunafungulia maji yanaanza kuzungusha turbine na tunapata umeme rafiki kabisa.
2. Pia tunaweza kuyafungia huku huku juu bila kuyaruhusu maji hayo wakati wa kupwa , sasa mto uliosafishwa na wenye kina ukatumika katika utalii kwa kuweka boti humo watu wanazunguka kutoka salender, muhimbili, jangwani...tunaweza tukatanua hilo bonde mpaka kigogo...! NA hapa serikali ikapata ela ya kuboresha miradi ya maendeleo kwa watanzania wote.
3.Twaweza pia, kuhakikisha maji taka yote tunayapitisha kwenye bomba moja kubwa na yakamwagwa kilindini huko bahari, na hakuna mtu wala kiwanda kutupa taka kwenye mto huo bira kupitia bomba hili. sasa tukiwa na maji ya mto safi tunaweza kufuga samaki humo, tukawa na uhakika kabisa wa kitoweo safi.
Kupanga ni kuchagua.
Mh.speaker napenda kujibu swali dogo la nyongeza la mh.@"Elli, kama ifuatavyo.Au VITA vya Ukraine na Russia viliathiri pia hizi mambo