Tujikumbushe ujio wa Papa John Paul II nchini Tanzania mwaka 1990

22 April 2022
Tosamaganga, Iringa
Tanzania

Tosamaganga Hospital Documentary Film

Hosptali Teule ya Tosamaganga ni miongoni mwa Hospitali kongwe Nchini Tanzania, ilianzishwa Mwaka mnamo Mwaka 1970, Hospitali hii inajivunia miaka 50 ya utoaji huduma bora kwa wakazi wa Mkoa wa Iringa na Nje ya Mkoa pia, hapo awali chini ya Wamisionari wa Consolata kilianza kwa kutoa huduma za afya na hapo ukawa mwanzo wa kujengwa Hosptali hii hapa Ipamba. Upekee wa Hospitali ya Ipamba ni Uinjilisha kupitia tiba, ni Hoptali inayomilikiwa na kanisa Katoliki ambapo miongoni mwa Tunu za kanisa hilo ni kutoa huduma kwa jamii na kupitia Hospitai hii ya Tosamaganga kwa huduma zake nzuri watu wengi wanapona na wengine wanapata nafuu. Sifa nyingine ya Hosptali hii ni utoaji wa wa huduma bora bila mipaka wala ubaguzi wa dini lakini pia imetoa ajira kwa watumishi wengi. Miongoni mwa changamoto ni kutokuwa na chuo cha kuzalisha wahudumu jambo linalopelekea kupata wakati mwingine kuapata wahudumu wanye taaluma lakini wasio na wito. Kwa sasa mpango mkakati wa Hosptali hii kongwe ya Tosamaganga, ni kuwa na Hospitali ya Rufaa ili kuweza kutoa huduma bingwa, matarajio yalipo ni kufungua kitengo cha kusafisha damu, na tayari Daktari bingwa wa mifupa amepatikana , lakini pia kuongeza ubora katika vitengo vyote na kuimarisha huduma zenye viwango vya juu sambamba na machine za kisasa ikiwemo MRI.

Source : Kenosis TV
 
Hongera ndugu Mlei
 
Na huu ndio mwaka aliofunguliwa mandera na kuitembelea Tanzania.
 
A- Z ya historia ya kadinali mteule Askofu Protase Rugambwa

 
Hata mimi nilikuwepo siku hiyo nikiwa Mwanafunzi wa Sekondari, tulipanda gari ya shule (Trucker) saa 12 asubuhi tulisafiri umbali wa km 100 hadi kufika Moshi. Watu walifurika sana siku hiyo kwenye Uwanja wa Memorial.
 
Good, Mimi nilitumikia misa HIYO nikiwa mfupi line ya mbele kabisa nikiwa std II kipindi hapo Jimbo kuu la The King Cathedral old is gold, always God is good wenzangu tuliokuwa watumishi wapo sehemu mbalimbali duniani wakieneza injili wakiwa mapadre.
Dah umenipa simanzi sana mkuu.
Hongera kwa wale wote waliokuja kuwa mapadre
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…