Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mzee mwenzangu Ulimakafu, hebu uje haraka uone namna kijana wako Bin Kazumari alivyopuyanga. 😃Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi,
Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?
Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu
View attachment 2675356
Vipi yule mchezaji mliyekuwa mnajisifu kuwa timu ya kwanza kusajili mchezaji wa Epl
BIGIRIMANA
Huu utaratibu wa kuhamisha magoli umeanza lini tena!! Tumalizane kwanza na huyu kiungo wetu fundi na mkata umeme (yaani Sawadogo), eeeh!! Halafu ikipendeza sasa ndiyo tuanzishe uzi wa kuwahusu watu wengine.Tuanze na za BIgael Bigirimana chezaji la EPL.
Gael bigirimana kiungo fundi kutoka epl yuko wapi.Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi,
Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?
Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu
View attachment 2675356