Tujikumbushe usajiri wa kiungo fundi mkata umeme sawadogo..

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi,

Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?

Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu
 
Mzee mwenzangu Ulimakafu, hebu uje haraka uone namna kijana wako Bin Kazumari alivyopuyanga. 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…