Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi,
Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?
Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu
Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?
Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu