Mimi nitawapatia vituko vitatu tu.
Mosi, kuna waziri mkuu wa taifa fulani alijivika umasihi eti kaliponya taifa lake dhidi ya korona. Akaitumia hii kama kiki kujipa umaarufu wa kisiasa ktk nchi ile.
Uchaguzi ulipofika wananchi hawakumwelewa. Alikuwa hoi sana kisiasa. Akapiga magoti ktk state moja inaitwa Njombhehl ili kubembeleza wananchi wampigie kura lkn wapi. Ikabidi atafute mabegi meusi na kuyasambaza nchi nzima yakiwa na kura zake.
Mbili, kuna mtawala aliwauzia wanyonge wa taifa lake vitambulisho kwa hela nzuri tu. Ikawa lazima kwa kila mnyonge wa nchi ile kuwa nacho.
Uchaguzi ulipofika, akakana kwamba haikuwa lazima kwa kila mnyonge kukinunua. Mwanasheria mmoja nguli sana akambana kwamba kama haikuwa lazima rudisha hela. Akagalauka tena.
Tatu, huko Ulaya kuna mwanasiasa mwingine anakijenga kijiji cha Chateuax alikozaliwa kwa fedha za umma. Kajenga bonge la international airport na anasomba wanyama toka kila kona ya dunia kupeleka Chateuax.
Mosi, kuna waziri mkuu wa taifa fulani alijivika umasihi eti kaliponya taifa lake dhidi ya korona. Akaitumia hii kama kiki kujipa umaarufu wa kisiasa ktk nchi ile.
Uchaguzi ulipofika wananchi hawakumwelewa. Alikuwa hoi sana kisiasa. Akapiga magoti ktk state moja inaitwa Njombhehl ili kubembeleza wananchi wampigie kura lkn wapi. Ikabidi atafute mabegi meusi na kuyasambaza nchi nzima yakiwa na kura zake.
Mbili, kuna mtawala aliwauzia wanyonge wa taifa lake vitambulisho kwa hela nzuri tu. Ikawa lazima kwa kila mnyonge wa nchi ile kuwa nacho.
Uchaguzi ulipofika, akakana kwamba haikuwa lazima kwa kila mnyonge kukinunua. Mwanasheria mmoja nguli sana akambana kwamba kama haikuwa lazima rudisha hela. Akagalauka tena.
Tatu, huko Ulaya kuna mwanasiasa mwingine anakijenga kijiji cha Chateuax alikozaliwa kwa fedha za umma. Kajenga bonge la international airport na anasomba wanyama toka kila kona ya dunia kupeleka Chateuax.