Hahaha...sawa Mkuu.Sina hakika, niulize mambo ya zamani, siku hizi mpira naangalia kwenye TV tu, zamani nilikuwa naenda kuruka ukuta Uwanja wa Taifa wa zamani, unadondosha noti ya shilingi 10 halafu polisi anaruhusu uruke ukuta [emoji1787][emoji23]
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Andrew kana biyikAndres Omam Biyik na Francois Omam Biyik wa Indomitable Lions (Cameroon)
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipita kiwanja ngoma leo hii chozi laweza kukutoka hakuna tena ile burudani kile kizazi cha 1992 ..1994 inaelekea kiliishia pale pale tumebakiwa na vijana mashabiki wa magazeti ya udaku tu na story za shigongo tu.Soka la Kiwanja Ngoma alikuwepo Masoksi na kaka yake Tiba Abdallah wakichezea Volcano ya Ghana.
Ni Abbas magongo akiichezea gor mahia kwa mafanikio waqt ule mpaka mtangazaji mkenya anasema (hii magongo nasaliwa mpakani tu ya tansaniaIbrahim Magongo na Athuman Magongo, Pamba ya Mwanza. Victor Mkanwa na Henry Mkanwa, African Sports, Omar Mahadhi bin Jabri, Simba, Waziri Mahadhi, Yanga.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kuweka records sawa kwa ajili ya wadogo zetu humu JF.Ni Abbas magongo akiichezea gor mahia kwa mafanikio waqt ule mpaka mtangazaji mkenya anasema (hii magongo nasaliwa mpakani tu ya tansania
Mao na Khalfani ni Baba za hao vijanaHimid Mao mkami, Mao Mkami
Mrisho khalfan Ngasa, Khalfan Ngasa
Abubakar Salum, Salum Abubakar "sure boy "
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran kwako piaAsante kwa kuweka records sawa kwa ajili ya wadogo zetu humu JF.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Very sadUkipita kiwanja ngoma leo hii chozi laweza kukutoka hakuna tena ile burudani kile kizazi cha 1992 ..1994 inaelekea kiliishia pale pale tumebakiwa na vijana mashabiki wa magazeti ya udaku tu na story za shigongo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
KRC GENK na Brother yupo Tz Prisons
Mtoto wa Kluivert yupo njema sana. Angalia mechi za Roma.Mufti hapo kwenye familia ya Zidane na Kluvert ni mapema sana,kwan hao watoto bado hawajaanza kuonesha ufundi kama wa baba zao
Atleast yule mtoto wa Diego Simon,alikuwa ligi ya Italia jina la timu silikumbuki vyema
Tiba abdalah wa polisi moro na Jimmy shonji wa lipuliSoka la Kiwanja Ngoma alikuwepo Masoksi na kaka yake Tiba Abdallah wakichezea Volcano ya Ghana.