Tujikumbushe wachezaji waliotamba AFCON miaka ya nyuma

Julias agahowa na shaun batket alikua mfungaji bora
 
Nwanko KANU
Taribo west
Daniel amokachi
Uche ikwechuku
Celestine babayaro
Tijan babangida
Mustafa el haj
Patrick mbona
Henry camara
El haj diouf
Papaa bouba diop
Julius Aghahowa
Solomon Olembe
Ndiefi
Laureen Silvester Etame Mayor
Ferdinand Colly
Samweli Etoo
Zuma
Benny McCarthy
Mark Vivian Foe ( rip)
Manucho
Yobo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jules Bokande-Senegal
Kalusha Bwalya-Zambia
Charles Musonda-Zambia
 
Hawa midfielders watakumbukwa sana: Ayman Mansour-Egypt; Kinkambo Kingambo-DRC, Serge Alain Maguy-Ivory Coast, Ahmed El-Kass-Egypt, Emmanuel Munaine-Zambia, Tamundele Kakoko-DRC, Teofile Abega-Cameroon, Emile Mboumbou-Cameroon, Muda Lawal-Nigeria, Chibuzor Ehilebgu-Nigeria, Abdul Razak-Ghana. etc etc. Walikuwa moto wa kuotea mbali.
 
Kuna striker moja aliwahi kutokea kwenye Afcon zile za 1974 kule Misri akawa mfungaji bora na wakatwaa na kombe, alikuwa balaa akiitwa Ndaye Mulamba toka Zaire (DRC) na baadaye akacheza World Cup mwaka huo kule iliyokuwa West Germany.
 
Sasa hivi hakuna tena wachezaji, mpira ndio kama umeisha hivyo. Mapesa meengi yameharibu mpira.

Kila mchezaji wa kiafrika anaota ndoto kwenda kucheza Ulaya akapige pesa.

Football is not what it used to be. Money has have a negative ramifications on the world's most popular sport.
 
Ahmed el kass hakuwa kiungo alikuwa mshambuliaji huyu mzaliwa wa alexandria huyu pana waqt chelsea walimtaka akakataa na kubaki zamalek. Mudashiru (muda )lawal kilikuwa chuma hiki chenye ladha .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…