Tujikumbushe wachezaji waliotamba AFCON miaka ya nyuma

Lamptey halufanikiwa chochote,wakala wake alimzulumu na hata mkewe alamzalia watoto wa nje ya ndoa watatu,DNA ilitoboa Siri hii.
 
Lamptey halufanikiwa chochote,wakala wake alimzulumu na hata mkewe alamzalia watoto wa nje ya ndoa watatu,DNA ilitoboa Siri hii.
Lamptey alikuwa kipaji sana, ila wakala na wazazi hawakumpa sapoti alipokuwa mdogo na shule zero kabisa, hakujua hata kusoma wala kuandika.
 
Kuna akina Kofi Gyamfi, Mahamoud Al Gohari, Ibrahim Sunday, Robert Mensah aliyekuwa akidaka goli huku akisoma gazeti kwa kejeli.

Ndaye Mulamba, Kazadi Best, Mamadou Keita N'joleya, Ahmed Faras, George Alhassan, Emmanuel Quachie, Rogger Milla nk nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…