The Butcher
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 348
- 491
[emoji23][emoji23][emoji23]nilitaka niseme hivi kwa hasira asee.. Faahhivi ukiandika kiswahili itakuaje shenzzz ... nitumie picha
Unaona sasa hapo kwenye ukifanya kama inavyotakiwa ndo unoko huo sasa.. mfano mimi kila siku nipo chini ya mstari mwekundu, halaf kila baada ya week 2 nna sicksheet ...we unavyoonekana mzigua lazima uniletee unoko lazima utakua unawashwawashwaWalaa. Ofisini mbona wala sio mnoko sema ukifanya kama inavyotakiwa wala sina shida na mtu. Ila O level nilikuaga kiongozi watu walikua hawanipendi hatari eti nilikua mnoko [emoji23][emoji23]
NdiyoKumbe ndio maana una Elimu ya hapa na pale
Mmmh!! LabdaUnaonesha ulikuwa muoga kichzi..
Ndiyo Mimi mimiHahaha we kama nshakujua hiv
Kabisa yaani home hapana kwa kweliAisee pole sana
AhsantePole mpenzi.
Safi sana aiseeMimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
lakin umefka adi chuo kikuu upo vzur!Mmmh!! Labda
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaona sasa hapo kwenye ukifanya kama inavyotakiwa ndo unoko huo sasa.. mfano mimi kila siku nipo chini ya mstari mwekundu, halaf kila baada ya week 2 nna sicksheet ...we unavyoonekana mzigua lazima uniletee unoko lazima utakua unawashwawashwa