Tujikumbushe wapenda kusingizia kuumwa na watoro shuleni

Tujikumbushe wapenda kusingizia kuumwa na watoro shuleni

Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
 
Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Nilichotaka kuandika Mungu anisamehe tu kwa kweli.
 
Mimi na pacha wangu tulikuwa hatutegi. Mama alikuwa mkali sana ukitega anakupeleka mwenyewe. Su unachagua upelekwe zahanati kwa aunty ukutane na sindano au uende shule.
Hapo utachagua nini?
 
Tangu niko secondary Mi nilikuaga naumwa tu mpaka walimu walijua mi ni muathirika. kilichokua kinanipa jeuri ni ile kadi ya Bima Hadi yule dada wa hospital reception akawa kanizoea akawa mchumba wangu,ananipa tu yale makaratasi, na hiyo tabia ikafika mpaka Chuo nikiona test hazieleweki au nimekosa quiz nawahi kuchukua sick sheet huyo hospitali naenda kukusanya makaratasi nikija nayo kama 6 ivi wanajua huyu kweli alikua ana kipindupindu au Manjano, Kibaya zaidi hii Tabia hadi kazini bado inaniandama sijui lini itaniacha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseee mpaka kaz
 
Dhaaaaaaaa umenikumbusha mbali
Nkikumbuka kwalamahondo primary school yan Nataman tu miaka irud nyuma
 
Mimi na pacha wangu tulikuwa hatutegi. Mama alikuwa mkali sana ukitega anakupeleka mwenyewe. Su unachagua upelekwe zahanati kwa aunty ukutane na sindano au uende shule.
Hapo utachagua nini?
Kwenda kuzubaa juu ya maembe na
Kukimbiwa na miwa
 
Back
Top Bottom