Tujikumbushe wasanii wa BongoFlava waliosanda

MB Doggy, 20% na Marlow ndo wananiuma roho...

Ile ngoma ya Latifah na Ina maana enzi hiyo nipo form two.. Yaani zilikuwa enzi hiyo nakariri mida ya saa nne usiku jirani yangu muuza duka anaifungulia mpaka naacha kusoma.. Daaah
 
Jamaa nina mmind mpaka leo.
Nikiukumbuka huu wimbo na ule wa "Ina maana" roho inaniuma sana maana ndio nakumbuka enzi hizo naruka geti kwenda disco na mimba juu nikaambulia.
Basi baba mtoto na mimi huwa tunauweka kusikiliza na kujikumbusha na kucheka sana.
 
"sina demu, kama unavyoniona mpenzi, ndo mana nimekuchagua we ukidhi yangu mahitaji.....sio kwamba mi staki demu, ila sijamwona mwenye sifa, uzuri alionao kama wewe malaika wangu"
By B-boy.
Mziki ulikuwa zamani
 
"sina demu, kama unavyoniona mpenzi, ndo mana nimekuchagua we ukidhi yangu mahitaji.....sio kwamba mi staki demu, ila sijamwona mwenye sifa, uzuri alionao kama wewe malaika wangu"
By B-boy.
Mziki ulikuwa zamani
Kama una ii audio ntumie aisee...
 
Mwenye wimbo wa wagosi wa kaya NYETI ft complex atume hapa plzzz..
 
Kuna jamaa mmoja alikuja kwa kasi sana miaka hiyo, ila kwa sasa simsikii tena..anaitwa Man Razor sidhani kama anafahamika na watu wengi huyu jamaa!
 
MB Doggy, 20% na Marlow ndo wananiuma roho...

Ile ngoma ya Latifah na Ina maana enzi hiyo nipo form two.. Yaani zilikuwa enzi hiyo nakariri mida ya saa nne usiku jirani yangu muuza duka anaifungulia mpaka naacha kusoma.. Daaah
Bila shaka wewe ni wa kike!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…