Tujikumbushe watangazaji maarufu Radio one enzi hizo

Tujikumbushe watangazaji maarufu Radio one enzi hizo

Ahsante kwa kutukumbusha,yes kwangu JULIUS NYAISANGA(RIP),na for more young mens wakati wa RTD Mnamkumbuka ABDUL MASUDI?,taarifa ya habari akisoma hupendi imalizike,kipindi cha michezo kilikuwa chart ya juu bcs of him.kweli kwa sasa ni mihemko tuu.
 
Umenikumbusha mbali sana!

Nakiri kuwa tulikuwa na Watangazaji.Sasa hivi tuna watangazaji wa Chap chap, kujuana kwingi, ujanja ujanja nk.Kiufupi Tasnia ya Habari imevamiwa na Utumwa mamboleo.

Katika upande wa Television, now days tupo na kina George Maratu, Charles Masanyika, Mabele Makubi, Spenser Lameck, Hemed Kivuyo nk.Huwa najiuliza, kwenye interview walipitaje?.Nb;kama huna japo a, b, c, d's za Mass comm and Journalism tusibishane katika hili.

Mwisho wa siku naishia kupata majibu kuwa, WALIBEBWA.Then nazima Tv.

Big up sana kwa uliowataja huku nikirudia kum-mention Masoud Masoud (Manju wa muziki) kwa mara ya pili.Huyu Jamaa ana skills za hatari kuhusu Muziki hana mfano, Ana ujuzi wa Lugha zaidi ya 3 (Internationally).Alikuwa na sauti hiyo!!!, lazima uipende.Then majigambo 0.Big up kwake.

Walikuwa wakitangaza mpaka Unasisimka.Unahisi upepo umesimama kwa Muda.
Hehehe mi masoud masoud ile sauti yake daaah jamaa sijui kama kameza kijiko hahah hatari .
 
Kuna ile jingle yao walikuwa wanawataja watangaziaji wao niliipenda sana...

Rose Chitalaa.... Atiche babujii... Sijui nimepatia
 
Mwaka 1994 Radio One FM Stereo ilikua radio station binafsi ya pili kuanzishwa baada ya Radio Tumaini iliyoanzishwa kwa majaribio mwaka 1993.
Ni dhahiri ilitokea kuteka Dar Es Salaam yote pamoja na mikoa mingine mitano ambayo ilianza nao kusikika yaani Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Tanga.

Ubunifu pamoja na Watangazaji machachari uliibeba sana Radio One Stereo enzi za 1994 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo ilikua haina mshindani licha ya kuongezeka kwa idadi ya radio station za binafsi apa DarEsSalaam na mikoani pia.

Kwa sasa watangazaji "wakongwe" waliobakia Radio One ni watatu tu, Aboubakar Sadiq-alitokea East Africa FM(Sikuhz yaitwa East Africa Radio),Deo Rweyunga pamoja na Abdallah Mwaipaya -alitokea PRT(Sikuhz inaitwa TBC FM)

Wafuatao ni baadhi ya watangazaji wa Radio One wa enzihizo waliotengeneza njia ya kizazi kipya cha utangazaji Tanzania;

-Mike Mhagama
-Taji Liundi
-Master Voice
-DJ Ommy
-DJ JD
-Aboubakar Liongo
-Abdallah Majura
-Rose Chitala
-Asia Mohammed
-Flora Nducha
-Leila Muhaji
-Janet Sostheness
-Sos B
-Basil Mbakile
-Masoud Masoud
-Mikidadi Mahmoud
-Amina Saleh
-Misanya Bingi

Ongezea na wengine.
Pis K,
 
Umenikumbusha mbali sana!

Nakiri kuwa tulikuwa na Watangazaji.Sasa hivi tuna watangazaji wa Chap chap, kujuana kwingi, ujanja ujanja nk.Kiufupi Tasnia ya Habari imevamiwa na Utumwa mamboleo.

Katika upande wa Television, now days tupo na kina George Maratu, Charles Masanyika, Mabele Makubi, Spenser Lameck, Hemed Kivuyo nk.Huwa najiuliza, kwenye interview walipitaje?.Nb;kama huna japo a, b, c, d's za Mass comm and Journalism tusibishane katika hili.

Mwisho wa siku naishia kupata majibu kuwa, WALIBEBWA.Then nazima Tv.

Big up sana kwa uliowataja huku nikirudia kum-mention Masoud Masoud (Manju wa muziki) kwa mara ya pili.Huyu Jamaa ana skills za hatari kuhusu Muziki hana mfano, Ana ujuzi wa Lugha zaidi ya 3 (Internationally).Alikuwa na sauti hiyo!!!, lazima uipende.Then majigambo 0.Big up kwake.

Walikuwa wakitangaza mpaka Unasisimka.Unahisi upepo umesimama kwa Muda.
Masoud masoud manju wa muziki miaka 1000000 Hakuna kama yy kwenye skill ya hali ya juu ya muziki........
 
Umenikumbusha mbali mkuu kipindi hiko nikiwa home kibosho! Wapi mama wa sauti Regina Mwalekwa nilikuwa sikosi taarifa habari Dada amejaaliwa Sauti.
 
Mwaka 1994 Radio One FM Stereo ilikua radio station binafsi ya pili kuanzishwa baada ya Radio Tumaini iliyoanzishwa kwa majaribio mwaka 1993.
Ni dhahiri ilitokea kuteka Dar Es Salaam yote pamoja na mikoa mingine mitano ambayo ilianza nao kusikika yaani Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Tanga.

Ubunifu pamoja na Watangazaji machachari uliibeba sana Radio One Stereo enzi za 1994 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo ilikua haina mshindani licha ya kuongezeka kwa idadi ya radio station za binafsi apa DarEsSalaam na mikoani pia.

Kwa sasa watangazaji "wakongwe" waliobakia Radio One ni watatu tu, Aboubakar Sadiq-alitokea East Africa FM(Sikuhz yaitwa East Africa Radio),Deo Rweyunga pamoja na Abdallah Mwaipaya -alitokea PRT(Sikuhz inaitwa TBC FM)

Wafuatao ni baadhi ya watangazaji wa Radio One wa enzihizo waliotengeneza njia ya kizazi kipya cha utangazaji Tanzania;

-Mike Mhagama
-Taji Liundi
-Master Voice
-DJ Ommy
-DJ JD
-Aboubakar Liongo
-Abdallah Majura
-Rose Chitala
-Asia Mohammed
-Flora Nducha
-Leila Muhaji
-Janet Sostheness
-Sos B
-Basil Mbakile
-Masoud Masoud
-Mikidadi Mahmoud
-Amina Saleh
-Misanya Bingi

Ongezea na wengine.
Janet yuko wap??
 
Umenikumbusha mbali sana!

Nakiri kuwa tulikuwa na Watangazaji.Sasa hivi tuna watangazaji wa Chap chap, kujuana kwingi, ujanja ujanja nk.Kiufupi Tasnia ya Habari imevamiwa na Utumwa mamboleo.

Katika upande wa Television, now days tupo na kina George Maratu, Charles Masanyika, Mabele Makubi, Spenser Lameck, Hemed Kivuyo nk.Huwa najiuliza, kwenye interview walipitaje?.Nb;kama huna japo a, b, c, d's za Mass comm and Journalism tusibishane katika hili.

Mwisho wa siku naishia kupata majibu kuwa, WALIBEBWA.Then nazima Tv.

Big up sana kwa uliowataja huku nikirudia kum-mention Masoud Masoud (Manju wa muziki) kwa mara ya pili.Huyu Jamaa ana skills za hatari kuhusu Muziki hana mfano, Ana ujuzi wa Lugha zaidi ya 3 (Internationally).Alikuwa na sauti hiyo!!!, lazima uipende.Then majigambo 0.Big up kwake.

Walikuwa wakitangaza mpaka Unasisimka.Unahisi upepo umesimama kwa Muda.

Hemed Kivuyo ana tatizo moja kubwa pia!..si mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea..hayupo updated na on going issues mweupe sana kichwani..anadhani kujua tu nahau na semi ndio kamaliza..i think kuna watu wanamdanganya kwamba anajua naye anaamini hivyo!
 
Back
Top Bottom