Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV


Mkuu,hao wa mpira walikuwa mashabiki wa timu zetu kongwe. Ungesikia gol gol kumbe mpira upo katikati ya uwanja
 
Namkumbuka Omary Jongo akitangaza mpira Uganda wakati Yanga wakichukua ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati (siku hizi kombe la Kagame) enzi hizo Lunyamila ndiyo anachipukia akiwa na akina maerhemu Saidi Mwamba Kizota,Mohamedi Husein,marehemu Isa Athumani Method Mogella na wengineo,ilikuwa raha sana kumsikiliza.
 

Ha ha ha....rafiki yangu aliniambia kwao mpunga walidhani unatengenezwa kiwandani.
 
Tangazo la IPP : Ah! mama Mariam vipi?.....Hizi nguo dadaangu, nimetumia kila aina ya sabuni lakini bado tu hazitakati!!. Si utumie Komesha?....AIPIPII KEAZ FO YUUUU!
 
Aloisia Maneno
Idrissa Sadala


 
Watu mnakumbukumbu nahisi machoz kunitoka ile ilikuwa TZ halisi kuanzia viongoz had wananchi wake, TZ ya Leo mhh, national timu hoi, simba yanga kutimua makocha tu. Nakupenda RTD popote ulipo
 
RTD sio mchezo kwa kweli waliotangulia waenziwe siku mmoja...ya kale dhahabu
 

Pedi mpya, za kike za jesi
Ni nyororo, raha kuvaa na za kupa kinga thabiti wakati wote, popote na hazina mikanda.
 
duuh watanzania wengine mnasikilizaga radio za wapi..? uncle j Nyaisanga . ni marehemu kwa sasa, aifariki dunia mwaka jana huko morogoro, maiti yake ililetwa dsm , ikaagwa kwenye viwanja vya sigara na kisha ikapelekwa musoma kwa ajili ya mazishi.
kweli hata mimi najiuliza wapiyupo anko J? kuna wakati alikuwa radio one na ITV alikuwa akiendesha kipindi cha hizi nazo, labda isac gamba atufahamishe.
 

Mkuu sinafungu uhali gani kaka?
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na Tanzania kuwa na vituo vingi vya redio na televisheni, kuna watangazaji (Radio and TV presenters) wakali na wenye upeo mkubwa kiasi cha kukufanya upate burudani, usichoke msikiliza au kumwangalia.

Taja presenter mkali Bongo au nje anayekuvutia kiasi cha kukufanye usichoke kumsikiliza na sababu za kumkubali kiivyo.

Binafsi namkubali sana Gadner G. Habash. Huyu jamaa enzi za jahazi (kabla ya Kibonde), nilikuwa sichoki kumsikiliza. Masoud Kipanya na Fina Mango, Power Breakfast ilikuwa poa balaa (kabla ya Gerald Hando na PJ) creativity ya hatari enzi hizo.

Pia Sued Mwinyi, Hamed Jongo na Juma Nkamia. Hawa jamaa RTD enzi hizo wakitangaza mpira iwe Simba na Yanga ndo utapenda, gogogogogoooo mpira ukiwa katikati ya uwanja.

I miss those days.

Karibu ujumuike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…