Marehemu huyu jamaa. Ila nakumbuka alikuwa mbaya sana wa kufanya mixing yaani beat ya wimbo mmoja anatumia mashairi ya wimbo mwingine . Nakumbuka ndani ya Radio One Dj Show. Mpaka sasa hakuna anayekaribia matawi yale. Hakuna.Rankim Ramadhani: buzuki time
TUMBO RISASI.Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.
1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala
2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana
3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............
4, Khalid Ponera- Zilipendwa
5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari
6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
7. Siwatu Luwanda
8. Salama Mfamao
9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)
10. Salim Seif Nkamba
12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu
13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi
14. Ahmed Jongo- Mpira
15. Christina Chokunogela
16. Dominic Chilambo- Mpira
17. Edda Sanga
18. Debora Mwenda- Mama na Mwana
19. Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana
Duu nawamiss sana hawa watu tofauti na watangazaji wa sasa
Kuna mtu kaomba link ya huu uzi wa miaka kumi iliyopita,nimeamua kuufufua upya,Rip all.Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.
1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala
2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana
3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............
4, Khalid Ponera- Zilipendwa
5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari
6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
7. Siwatu Luwanda
8. Salama Mfamao
9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)
10. Salim Seif Nkamba
12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu
13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi
14. Ahmed Jongo- Mpira
15. Christina Chokunogela
16. Dominic Chilambo- Mpira
17. Edda Sanga
18. Debora Mwenda- Mama na Mwana
19. Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana
Duu nawamiss sana hawa watu tofauti na watangazaji wa sasa
Naskia bado yupo radio 1, mimi nilishaacha kusikiliza radio one kitambo so sijui kama bado yupo
Alikimbilia vodacom huyurukia mtingwa itv redio 1
Alienda kusoma mafront hakurudi wakina bongo muvi wakachukua mkewe na yeye akaona isiwe tabu akaoa mzunguKuna mwamba alikua anaitwa Frank Mtao alikuwa na kipindi cha nani ninani pale Channel Ten
1. Dunstan Tido Mhando.
2. Suleiman Kumchaya.
3. Ben Kiko (Benedict Kikoloma - Homeboy) - Wakati wa vita ya nduli Amin.
4. Leonard Mambombotela???
5. Idd Rashid Mchata - Mchatta (kulikuwa na KM Chadema/Mtangazaji na Refa (nimekumbushwa).
6. (Abdul Masoud)inasemekana aliuawa kwa utapeli 80's. Wamenikumbusha.
7. Mzee Kijaruba Abdallah Mlawa.
8. Mikidadi Mahmoud. (http://www.bongocelebrity.com/2009/03/12/tanzania-rhythm-rtdmikidadi-mahmoud/).
9. Julius Nyaisanga.
10. Sango Kipozi.
11. Charles Hilary.
12. Mshindo Mkeyenge.......
Vipi unamkumbuka Leonard Mtawa; nilikutana naye mara ya mwisho mwaka 1989 au 1990 hivi pale Sinza. Nilifahamiana na Mtawa tangu utotoniSalama Nilimuita Dada, alitukaribisha hadi home kwake, kila nikiusikia wimbo wa Ousmane Bakayoko, namkumbuka Salama. Ni yeye aliutafsiri wimbo huo hewani tangu hapo kila ukipigwa namkumbuka!. Baada ya msiba, nilimtayarishia kipindi maalum na kumchezea wimbo wa "Salama" wa Marijan Rajabu!. Kiukweli alikuwa ni mwema sana na pia nilimwekea wimbo Vicky wa Vijana Jazz usemao "Nimeamini yanasosemwa na watu, wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana!".
Pascal.
Namfahamu sana Vicent Makori wa VOA; je aliwa kuwa RTD/TBC?
Abdalah mlawa yuko pale buguruni anaishi maeneo hayonamkumbuka Ben Kiko (Benedict Kikoti) na kipindi chake cha mambo hayo kutoka kanda ya kati dodoma. bila kumsahau Abdallah Mlawa.
kwa ujumla RTD haikuwa na mchovu hata mmoja. Ndio maana watangazaji wengi wapo ktika radio za mashirika ya nje.
nikikumbuka watangazaji wa mpira akina:
1. Charles Hillary..... Namna gani pale
2. Dominic Chilambo
3. Omary Jongo
3. Ahmed Jongo .... Inakuwa Obstruction pale
4. Na wengineo
5. Wa sasa hovyoooooo...
Unamkumbuka Ngalimecha Ngahyoma?Ahlan wa sahalan.
Nimekumbuka mbali sana.
Namkumbuka Michael Katembo pale studio 3 na kipindi chake cha Midundo asilia.
Namkumbuka Mzee Angalieni Mpendu idara ya utangazaji biashara.
namkumbuka Edda Sanga wa chumba cha habari.
Nili enjo sana field yangu enzi hizo.
Sitaweza kumsahau Mama Tatu Mbotoni ambaye alikuwa mkuu wa maktaba ya rekodi. Klla tulichofanya au kuhitaji tulipitia kwake.
Sijawasahau wazee etu Mafundi mitambo.
Mzee Edmund Mria (mchaga)
Ali Said Tunku
Noel Namaloe
pamoja na wale engine wa OB.
Nilienjoy sna field angu chini ya wakongwe hawa.
Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.
1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala
2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana
3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............
4, Khalid Ponera- Zilipendwa
5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari
6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
7. Siwatu Luwanda
8. Salama Mfamao
9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)
10. Salim Seif Nkamba
12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu
13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi
14. Ahmed Jongo- Mpira
15. Christina Chokunogela
Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.
1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala
2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana
3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............
4, Khalid Ponera- Zilipendwa
5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari
6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
7. Siwatu Luwanda
8. Salama Mfamao
9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)
10. Salim Seif Nkamba
12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu
13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi
14. Ahmed Jongo- Mpira
15. Christina Chokunogela
16. Dominic Chilambo- Mpira
17. Edda Sanga
18. Debora Mwenda- Mama na Mwana
19. Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana
Duu nawamiss sana hawa watu tofauti na watangazaji wa sasaWengine:Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.
1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala
2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana
3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............
4, Khalid Ponera- Zilipendwa
5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari
6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
7. Siwatu Luwanda
8. Salama Mfamao
9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)
10. Salim Seif Nkamba
12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu
13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi
14. Ahmed Jongo- Mpira
15. Christina Chokunogela
16. Dominic Chilambo- Mpira
17. Edda Sanga
18. Debora Mwenda- Mama na Mwana
19. Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana
Duu nawamiss sana hawa watu tofauti na watangazaji wa sasa
1. Rochus Matipa (Taarifa ya habari kwa Kiingereza)
2. Tumbo Tamimu Risasi
3. yule mzee wa "Mazungumzo Baada ya Habari"