King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Raph B Sijaona /Nicky Ngonyani - Mobitel Most Wanted.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimeu_google huo wimbo ndio ukanileta huku.Kipindi cha Lugha Ya Kiswahili nilipenda sana wimbo(jingle) yake
"Tanzania Bara na Visiwani....ya Taifa hili lugha...." Nimesahau unavyoendelea.
Pia kipindi cha rushwa. Wimbo wake
"Wito nautoa kwa taifa zima, tuchukie rushwa kwani ni adui...."
Pia Mahoka na Pwagu na Pwaguzi.
Mchezo Wa redio nilikuwa nampenda mwigizaji mmoja akiitwa Matuga.
.
RejeaMzee Balantanda, unakumbukumbu wewe,
Nitakupa UP Date ya baadhi yao walipo..
1.Omar Jongo-R.I.P
2.Barnabas Mluge-Retired
3.Idrissa Sadallah-R.I.P
4.Yusuph Omar Chunda(STZ)-TVZ
5.Abisai Steven-Retired
6.Peter Makorongo-TBC Lindi
7.Angalieni Mpendu-Retired
8.Titus Philipo-TBC-Tabora
9.Bakari Msulwa-TBC-Mwanza
10.Michael Katembo-R.I.P
11.Nazir Mayoka-R.I.P
12.Abdul Ngalawa-Retired
13.Mohammed Kisengo-Radio One
14.Abdallah Mlawa-Retired
15.Hendrick Michael Libuda
16.Abdallah Idrissa Majura-BBC
17.Mikidadi Mahmoud-Mkurugenzi Radio Uhuru
18.Rosemary Mkangara- Anaishi Gongo la Mboto, ameachana na Utangazaji.
19.Wilson Malosha
20.Damian Msangya
21.Nswima Ernest
22.Nathan Rwehabura -Msaani Afrika-Mhariri Mkuu
Watangazaji weingine RIP ni
Abdul Masudi,
Siwatu Luanda
Salama Mfamao
Michae Katembo
Juma Ngodae,
Seif Mkamba
Nelly Kedela
Uko vizuri sanaRejea
Mwandishi ni Mtangazaji wa zamani wa External Service ya RTD.
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu Watangazaji wa iliyokuwa RTD
- CV ya Pascal Mayalla
- Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV
- Tribute to David Wakati, Kikwete, Mengi, Nchimbi na wengine, Wamzungumzia David Wakati (TBC Live)
- Tribute To Uncle J. Nyaisanga: Jee Unamkumbuka kwa Lipi?!. Kuagwa Leo Leaders Club!- Tribute to Halima Mchuka: Alikuwa Mtu wa Watu!
- Mtangazaji wa Channel Ten Afariki kwa Ajali!
- Mtangazaji wa TBC, Aboubakar Mwanamboka, afariki Dunia!
- Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa, Marin Hassan Marine, Alianzisha Jambo TZ na Ameacha Alama ya TBC Aridhio
- Kwanini Hatuna Watangazaji wa Kike wa Mpira Miguu?. Tanzania Alijitokeza Mmoja, Halima Mchuka, Leo ni Miaka 10 Toka Afariki, Kwanini Hana Mrithi?
- Tribute To Ephraim Kibonde: Ni Mtangazaji Multi Talented, Entertainer, Comedian na Politician wa Kiaina. He Was Great!, Pengo Lake Halitazibika!.
- Uhuru wa Habari: Tuwakumbuke Mashujaa wa Habari waliopo na waliotangulia. Unawakumbuka kwa lipi?
I’m very out of touch on this…Rejea
Mwandishi ni Mtangazaji wa zamani wa External Service ya RTD.
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu Watangazaji wa iliyokuwa RTD
- CV ya Pascal Mayalla
- Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV
- Tribute to David Wakati, Kikwete, Mengi, Nchimbi na wengine, Wamzungumzia David Wakati (TBC Live)
- Tribute To Uncle J. Nyaisanga: Jee Unamkumbuka kwa Lipi?!. Kuagwa Leo Leaders Club!- Tribute to Halima Mchuka: Alikuwa Mtu wa Watu!
- Mtangazaji wa Channel Ten Afariki kwa Ajali!
- Mtangazaji wa TBC, Aboubakar Mwanamboka, afariki Dunia!
- Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa, Marin Hassan Marine, Alianzisha Jambo TZ na Ameacha Alama ya TBC Aridhio
- Kwanini Hatuna Watangazaji wa Kike wa Mpira Miguu?. Tanzania Alijitokeza Mmoja, Halima Mchuka, Leo ni Miaka 10 Toka Afariki, Kwanini Hana Mrithi?
- Tribute To Ephraim Kibonde: Ni Mtangazaji Multi Talented, Entertainer, Comedian na Politician wa Kiaina. He Was Great!, Pengo Lake Halitazibika!.
- Uhuru wa Habari: Tuwakumbuke Mashujaa wa Habari waliopo na waliotangulia. Unawakumbuka kwa lipi?
Benyamin Netanyahu 💪Chama Omari Matata.
Namkumbuka kaka yake Othmam Omari Matata alikuwa mtangazaji wa English news External Service ya RTD, yeye, Swalehe Msuya na Sauda Simba Kilumanga.Chama Omari Matata.
No haipo, ilianzishwa to support ukombozi Kusini mwa Africa, baada ya nchi zote kukombolewa the funding stopped, hivyo ikafungwa kwa sasa TBC wana English Service inayoitwa TBC International ila sijui kama inasikilizwa maana hata mimi mwenyewe born and breed TBC, sijawahi kusikiliza TBC International!.I’m very out of touch on this…
Hivi external service bado ipo?
Sikuwahi kujua hili la external servise na ukombozi wa nchi za africa kusiniNo haipo, ilianzishwa to support ukombozi Kusini mwa Africa, baada ya nchi zote kukombolewa the funding stopped, hivyo ikafungwa kwa sasa TBC wana English Service inayoitwa TBC International ila sijui kama inasikilizwa maana hata mimi mwenyewe born and breed TBC, sijawahi kusikiliza TBC International!.
P
Enzi za External service uliwahi kuisikiliza?Sikuwahi kujua hili la external servise na ukombozi wa nchi za africa kusini
Yah niliwahi kusikiliza. Nakumbuka matangazo yake yalikuwa yanaanza saa sita mchana hadi saa nne usikuEnzi za External service uliwahi kuisikiliza?
P
Kumbe wewe ni wa longi!, hivyo kama ulikuwa unasikiliza lazima pia utakuwa umesikia vipindi ni vya lugha gani na kwa ajili ya watu gani!.Yah niliwahi kusikiliza. Nakumbuka matangazo yake yalikuwa yanaanza saa sita mchana hadi saa nne usiku
Frequrncy za AM 1530mhz if my memory serves me right, enzi hizo hakuna Fm stations kwa mikoa ya kusini kulikuwa na channel africa ikitangaza kupitia Short wave frequencies.
Sijui nani anaweza kuwa na jingle hiyo.mahokaa!!!!! kuna mzee mmoja alikua anacheka sana mwanzo wa kipindi "we mama mbavu zangu ha! ha! haaaa!"
TBC International ipo nilikuwa naisikiliza sana. Wanapiga nyimbo za Kiingereza tu nzuri sana na wanaongea english tu.No haipo, ilianzishwa to support ukombozi Kusini mwa Africa, baada ya nchi zote kukombolewa the funding stopped, hivyo ikafungwa kwa sasa TBC wana English Service inayoitwa TBC International ila sijui kama inasikilizwa maana hata mimi mwenyewe born and breed TBC, sijawahi kusikiliza TBC International!.
P
Hongera sana kwa uzalendo.TBC International ipo nilikuwa naisikiliza sana. Wanapiga nyimbo za Kiingereza tu nzuri sana na wanaongea english tu.
Last time nasikiliza mpaka watu wanapiga simu kabisa na kutuma message