FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Ben Kiko majira Dododma nakumbuka hiyo jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Memsahau Penzi Nyamngumi..sijui yuko wapi siku hizi.
Juma Nkamia - mpira haswa Simba {simpendi huyu}
Yap huyo alikuwa anaitwa Benjamini Kikorongo (BENKIKO)Ben Kiko majira Dododma nakumbuka hiyo jamani
Kama yupi???Watangazaji wengi hawapo hai tena.Mungu awalaze mahali pema peponi.AMEN
4. Leonard Mambombotela???
.
5. Mchatta (kulikuwa na KM Chadema/Mtangazaji na Refa - Sikumbuki ni yupi).
.
Memsahau Penzi Nyamngumi..sijui yuko wapi siku hizi.
Leonards Mtawa ...Kama yupi???
Ndugu ni mkenya nini sisi tunazungumzia RTD wewe unatuletea watu wa KBCLenny Mambombotela ni Mkenya I think,alikuwa KBC,nakumbuka alikuwa na kipindi cha UHALIFU HAULIPI CHOCHOTE(kama sikosei),pia KBC nao walikuwa wazuri sana enzi hizo,bila kumsahau mtaalamu Freddy Obacho Machoka
Sekione Kitojo
Jacob Tesha - huyu ndo alikuwa na sauti ya kukwaruza kwaruza
Ndugu ni mkenya nini sisi tunazungumzia RTD wewe unatuletea watu wa KBC