Tujikumbushe: Weledi wa Barbara kupinga ubaguzi wa Manara dhidi ya uwezo duni wa Engineer Hersi kiuweledi

Tujikumbushe: Weledi wa Barbara kupinga ubaguzi wa Manara dhidi ya uwezo duni wa Engineer Hersi kiuweledi

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hakuna mtu anayestuka na ujinga wa sope takadini ni kama toto dogo linalochezea matope lakini wengi wamestuka sana kuona ujinga wa kitoto unaofanywa na Hersi na Arafat, vijana wanodaiwa kuwa ni wasomi (may be walifoji vyeti, who knows) waliyoyafanya Jumamosi ni kituko sana wao wanajiona wajanja lakini kwa werevu wao ni mapoyoyo ya hali ya juu.

Tujikumbushe sope takadini alivyowapiga marufuku washabiki wa yanga kwenda uwanjani kuangalia mechi ya simba na plateau utd ilkuwa november 2020, mwaka na nusu tu uliopita na uongozi wa simba ulivyotoa press release kuukana ujinga wake huo.

SASA JIULIZE HAYA ANGEYAFANYA AKIWA YANGA(NA USISHANGAE AKAYAFANYA MAANA HATA HIYO ADHABU KAKATAA KUITEKELEZA AKISAIDIWA NA INJINIA WA MCHONGO) KLABU INGEMSAPOTI HUKU IKIIBUA SHANGWE TOKA KWA MASHABIKI WAO

PIPA NA MFUNIKO PWAGU NA PWAGUZI WALAHI
marufukuuu.JPG
marufuku 2.JPG
marufuku3.JPG
PWAGU NA PWAGUZI WAKE AKITOA KAULI KAMA HII KWA SASA ATAUNGWA MKONO SANA TU NA VILAZA


hahahahahaha mapeeenziiii.jpg
 
Kashikwa kalegea kwerkwer
Hakuna mtu anayestuka na ujinga wa sope takadini ni kama toto dogo linalochezea matope lakini wengi wamestuka sana kuona ujinga wa kitoto unaofanywa na Hersi na Arafat, vijana wanodaiwa kuwa ni wasomi (may be walifoji vyeti, who knows) waliyoyafanya jumamosi ni kituko sana wao wanajiona wajanja lakini kwa werevu wao ni mapoyoyo ya hali ya juu.

Tujikumbushe sope takadini alivyowapiga marufuku washabiki wa yanga kwenda uwanjani kuangalia mechi ya simba na plateau utd ilkuwa november 2020, mwaka na nusu tu uliopita na uongozi wa simba ulivyotoa press release kuukana ujinga wake huo.

SASA JIULIZE HAYA ANGEYAFANYA AKIWA YANGA(NA USISHANGAE AKAYAFANYA MAANA HATA HIYO ADHABU KAKATAA KUITEKELEZA AKISAIDIWA NA INJINIA WA MCHONGO) KLABU INGEMSAPOTI HUKU IKIIBUA SHANGWE TOKA KWA MASHABIKI WAO

PIPA NA MFUNIKO PWAGU NA PWAGUZI WALAHI
PWAGU NA PWAGUZI WAKE AKITOA KAULI KAMA HII KWA SASA ATAUNGWA MKONO SANA TU NA VILAZA


 
Hakuna mtu anayestuka na ujinga wa sope takadini ni kama toto dogo linalochezea matope lakini wengi wamestuka sana kuona ujinga wa kitoto unaofanywa na Hersi na Arafat, vijana wanodaiwa kuwa ni wasomi (may be walifoji vyeti, who knows) waliyoyafanya jumamosi ni kituko sana wao wanajiona wajanja lakini kwa werevu wao ni mapoyoyo ya hali ya juu.

Tujikumbushe sope takadini alivyowapiga marufuku washabiki wa yanga kwenda uwanjani kuangalia mechi ya simba na plateau utd ilkuwa november 2020, mwaka na nusu tu uliopita na uongozi wa simba ulivyotoa press release kuukana ujinga wake huo.

SASA JIULIZE HAYA ANGEYAFANYA AKIWA YANGA(NA USISHANGAE AKAYAFANYA MAANA HATA HIYO ADHABU KAKATAA KUITEKELEZA AKISAIDIWA NA INJINIA WA MCHONGO) KLABU INGEMSAPOTI HUKU IKIIBUA SHANGWE TOKA KWA MASHABIKI WAO

PIPA NA MFUNIKO PWAGU NA PWAGUZI WALAHI
PWAGU NA PWAGUZI WAKE AKITOA KAULI KAMA HII KWA SASA ATAUNGWA MKONO SANA TU NA VILAZA


Ifike mda ubadilike sasa mambo yako binafsi na Manara unataka kuhusisha watu hizo tabia zako ni the same Manara yake binafsi anataka kujuisha watu wengine
 
Ifike mda ubadilike sasa mambo yako binafsi na Manara unataka kuhusisha watu hizo tabia zako ni the same Manara yake binafsi anataka kujuisha watu wengine
Jikite kwenye hoja, hersi ikitokea leo sope takadini akapiga marufuku wanasimba kuhudhuria mechi za yanga kwa upeo wa hersi ulivyo mdogo unadhani atakamea?no,atatoa press release ya kuunga mkono
 
Huyo jamaa anastahili kabisa kuwa huko aliko, utopolo wenzake.
 
Back
Top Bottom