Ndio hivyo kishaamua Malasusa aliongoze kanisa.Kuna uwezekano Mungu akaamua
Wahuni wenzie wenye maelekezoHuyu Malasusa kama hatakiwi huko KKKT kura anapigiwa na nani?
Hizi kura Tanzania unaweza kuzipata hata usiposhiriki uchaguzi, na hata usipopigiwa kura. Tanzania ni nchi ambayo unaweza kushinda kwa kupata idadi kubwa ya kura kuzidi hata idadi ya wapiga kura na matokeo yakawa halali.Huo ukuu kaupata kwa kura nyingi, wajumbe waliompigia kura hawakuwa wajumbe halali?
KKAM ni sawa na fisi anayetembea nyuma ya mtu akisubiri mkono udondoke aubebe akimbie nao....... πππππNi muda sasa wakugeukia kanisa la kirutheli africa mashariki KKAM
Ndio priority Na. 1 makanisani. Utaona wanapohubiri ktk vyombo vya hbr taarifa kuonyesha na. ya A/c au ya sim utumie hela ikizngka ...nk. uliza wamefanyia nn... loh!kikubwa sadaka mnatoa