donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Wakuu,
Kwa hakika tumetoka shule tofauti tofauti baina yetu kutoka sehemu mbali mbali za hapa kwetu Tanzania na hata kwa wale wenzetu waliopata neema ya kusoma nchi za nje tangu shule za msingi. Naona simbaya tukikumbashana enzi hizo za kaptura/sketi za blue na (baadhi yetu) soksi za pundamilia tukiwa mstalini tunaimba wimbo wa shule.
Mimi nilisoma Lugalo shule ya msingi na hii ni sehemu ya wimbo wetu wa shule:
Hii shule yetu ya Lugalo la kwanza hadi la saba mwaionaaa,
wanafunzi mnchanganyiko wasichana wavulana mwatuonaaa,
iko wilaya ya kinondoni na kata yetu ya kawe tunasemaaaa,
tutunze mali ya shule, majengo mazingira, lugalo iwe mfanooo........
#reminisce
Kwa hakika tumetoka shule tofauti tofauti baina yetu kutoka sehemu mbali mbali za hapa kwetu Tanzania na hata kwa wale wenzetu waliopata neema ya kusoma nchi za nje tangu shule za msingi. Naona simbaya tukikumbashana enzi hizo za kaptura/sketi za blue na (baadhi yetu) soksi za pundamilia tukiwa mstalini tunaimba wimbo wa shule.
Mimi nilisoma Lugalo shule ya msingi na hii ni sehemu ya wimbo wetu wa shule:
Hii shule yetu ya Lugalo la kwanza hadi la saba mwaionaaa,
wanafunzi mnchanganyiko wasichana wavulana mwatuonaaa,
iko wilaya ya kinondoni na kata yetu ya kawe tunasemaaaa,
tutunze mali ya shule, majengo mazingira, lugalo iwe mfanooo........
#reminisce