Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hello.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mara zote nikenda lodge, guest na hotelini kwenye kunyandua sijawahi kuandika jina langu halisi hasa la mwanzoni japo mara nyingi nafake majina yote mawili.
Sehemu pekee ambayo najiachia kuandika majina ya kweli aidha Kwa kupenda au kutokupenda ni Unguja ama Zanzibar.
Kama mtakagua vitabu vyenu najulikana sana kwa John Popaz. a.k.a Mzee wa Jopo.
Naiandika katika namna yenye ustadi mkubwa sana.
Iko hivyo yaani kudanganya ni maisha na maisha pia ni kudanganya.
Semeni na nyie mnaitwaje majina yenu huko kwenye magesti na malodge mkienda kunyandua.
Hahaaaa hata mademu zangu nawasajilia jina maarufu Joyce Prosper hio ndio Ina match Jopo kwa Jopro.
Kama ni vituko na dhambi ni kazi ya malaika kuendelea kutusamehe kila siku.
Nasubiria a.k.a zenu
Wadiz (maarufu John Popaz a.k.a Mzee wa Jopo)
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mara zote nikenda lodge, guest na hotelini kwenye kunyandua sijawahi kuandika jina langu halisi hasa la mwanzoni japo mara nyingi nafake majina yote mawili.
Sehemu pekee ambayo najiachia kuandika majina ya kweli aidha Kwa kupenda au kutokupenda ni Unguja ama Zanzibar.
Kama mtakagua vitabu vyenu najulikana sana kwa John Popaz. a.k.a Mzee wa Jopo.
Naiandika katika namna yenye ustadi mkubwa sana.
Iko hivyo yaani kudanganya ni maisha na maisha pia ni kudanganya.
Semeni na nyie mnaitwaje majina yenu huko kwenye magesti na malodge mkienda kunyandua.
Hahaaaa hata mademu zangu nawasajilia jina maarufu Joyce Prosper hio ndio Ina match Jopo kwa Jopro.
Kama ni vituko na dhambi ni kazi ya malaika kuendelea kutusamehe kila siku.
Nasubiria a.k.a zenu
Wadiz (maarufu John Popaz a.k.a Mzee wa Jopo)