Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Manispaa itafanya kazi yake!acheni uoga wa kitoto hakuna mtu anakuja kagua Hilo daftari huko😀.
ITAJULIKANA CKU HIYO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manispaa itafanya kazi yake!acheni uoga wa kitoto hakuna mtu anakuja kagua Hilo daftari huko😀.
ITAJULIKANA CKU HIYO
Maeneo ya Kkoo je ?Sijafahamu. Hotel za maana zipo Masaki na Posta.
Anaenda gest bubu na kina mwajuma ndalandefuNenda kwenye hotel za maana ambapo hawaandiki majina unayowaambia Bali wanahitaji Kitambulisho.
Bila hivyo, hawatokupokea..
Guest bubu maana yake niniAnaenda gest bubu na kina mwajuma ndalandefu
3000 na 5000 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Guest bubu maana yake nini
Zinapatikana wapi
Gharama yake je
Nina vitambulisho Og kwenye wallet kama vi4 vyote majina kamili na passport size jina la Facebook Instagram na Twitter hadi TikTok Niko full , Mzee wa Jopo, John Popaz nipoSiku ukifariki ghafla humo utatambulika Kama "UNKNOWN HUMAN REMAIN'' Utawapa Sana kazi nduguzo kuota ndoto za mang'amung'amu
Simulia mwambaTuliwahi vamia pahala ukafanyika msako mmoja sijawahi ona.
😀😀😀😀😀😀😀
Nilikaa hiyo sehemu siku 33,nikiwa na majina halisi.
Aisee jamaa waliweka ndani nusu ya watu wote ya ile Lodge waliokuwa na ID na majina fake.
Ni kiwa kirefu sana,ambacho mpaka sasa hata ukosee jina langu sitokuelewa kamwe kuna huduma hizi zetu.
Muhoozi Kainerugaba YoweriNimewai kuandika yoweri kabuta museveni
Au Hilo la mwanao nalipendaga Sana
Kainerubaga museveni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app