Tujilipue majina yetu maarufu kwenye vitabu vya Guest, Lodge, na Mahotelini

Siku ukifariki ghafla humo utatambulika Kama "UNKNOWN HUMAN REMAIN'' Utawapa Sana kazi nduguzo kuota ndoto za mang'amung'amu
Nina vitambulisho Og kwenye wallet kama vi4 vyote majina kamili na passport size jina la Facebook Instagram na Twitter hadi TikTok Niko full , Mzee wa Jopo, John Popaz nipo
 
Simulia mwamba
 
Napendaga utaisikia Jopo la wanazuoni wa kiislamu najisikia sana nikiitwa Mzee wa Jopo a.k.a John Popaz
 
Utasikia wakiulizana Anko au brother Popaz katoka hajaacha oda ya msosi ? Mzee wa Jopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…