Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Unafuta FAO la kujitoa then unawaambia vijana wakajiajili Kuna vitu inashangaza,
 
Hoja ni kinavyomuumiza mstaafu, swala la kinavyofanya kazi wala haina maana. Hizo kanuni zinawanufaisha wachache wenye mishahara mikubwa ila wengi wanaostaafu na mishahara midogo ni mateso tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mjinga, ni kweli kabisa kwamba huu ni wizi wa wazi na mauaji ya wazi. The government is dancing to Satan's tune of theft and murder. Ni murder kwa sababu unapomsitishia mtu any income at 72 years old, na huko nyuma ulimnyima uwezo wa kuwekeza unategemea nini, si kufa. To some of us serikali inatembea kwenye mkakati ule ule wa NWO wa depopulation.
 
wakati huo mama anaupiga mwingi kwa safari zake zisizoisha
laiti hii kazi ninayoifanya sasa ingekuwaga kuna mtu alinishauri,
ningelimtafuta na kumpiga shaba.
ni kwamba tu ni kiherehere changu kusomea hii kazi kwa kuvutiwa na mavazi
Afisa kipenyo? 😅
 
Umeandika kinafiki kabisa,asante kwa mchango wako
 
Dah hujui kitu bora ungekaa kimya kuficha ujinga wako
 
Acha upuuzi wewe chawa. Unaongea kupalilia maslahi ya tumbo lako. Kwanini umpangie mtu mzima matumizi ya pesa yake? Ni lini uliwasikia watumishi wanaomba serikali iwaletee huo utaratibu wa kinyonyaji?
Kama huna cha maana cha kusema hebu funga huo mdomo wako?
Kwa kujiita chawa imedhihirisha ni jinsi gani ulivyojaa ujinga kwenye kichwa chako maana chawa na uchafu ni kitu kimoja. Huwezi kukuta chawa mahala ambapo ni pasafi
 
Acha utahira wewe, njaa isikupofushe ikakufanya ukaacha kuuona ukweli na kuukiri kwa kinywa chako
 
Miradi ya Maji ilisainiwa kwa mbwembwe imesimama hakuna fedha, pamoja na Magu kuweka utaratibu mzuri kupeleka pesa RUWASA ndipo miradi inatangazwa mama kupitia Mugulu Walichota pesa zote kupeleka hazina.

Dodoma pekee ilikuwa na B 23 za miradi ilisainiwa miradi 13 mwaka 2021 leo hakuna miradi hata mmoja umeisha kwakuwa fedha hakuna
 
Wewe mjinga itakuwa ni mtumishi wa psssf.
Mwaka juzi Mzee kastaafu kapewa milioni 100 na ushehe na kila mwezi anapata 600k.
Wenzake waliostaafu baada ya upuuzi wenu huu wanajuta.
Hakuna mtumishi wa umma anayefurahia huu ujinga ukiondoa watumishi wa psssf na nssf. Kingekuwa kizuri Wabunge wangekiingiza kwenye malipo yao.
Mimi ninastaafu 2049, sina hofu najua kitakuwa tayari omitted
 
Yaani miaka 60 mtu ahangahikie miradi?
Hawa wapuuzi ipo siku makalio yao yatafidia huu upuuzi wao.
 
Una IQ ya kutosha Mkuu
 
Kila kitu kina faida na hasara zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…