Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Kwani huyu mstaafu akipewa hela yake yote Kuna
Acha uongo, mfano ma prof vyuoni walipata mpaka mil 30 tu. Kwa ufupi kila mfuko ulikuwa na fomula yake, ila kwa sasa inatoa fursa sawa. Nimemtukana kwa sababu ni mjinga anapotosha watu. Kikokotoo cha sasa kinamuwezesha mstaafu kuishi bila wasiwasi kwa sababu monthly pension ni kubwa na mstaafu akiiwekeza vizuri lumpsum kwenye miradi mbali mbali inamlipa vizuri hata kama ikitokea lumpsum imeisha anaweza kuishi vizuri. Mleta maada aacha uzuzu
Hivi akilipwa hela yake yote Kuna tatizo gani
 
Hii ni laana wanaitafuta,siyo siri.
Haiwezekani mtu mmemalizana nae mkataba kisha uendelee kushikilia pesa zake kwa kigezo kumpangia matumizi.
Haikubaliki hata kidogo.
Mimi nasema serikali uamuzi wa kikokotoo ni kwa manufaa ya nani
 
Mama anauopiga mwingi sana apewe Tena mitano
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
 
Acha kabisa. Watawala wanawachukulia wananchi kama Manyani tu, au ng'ombe. Maana ukija kwa wafanyabiashara nako ni shida tu! Wakulima nao kila siku ni kilio!!
Kwenye mambo ya wananchi utasikia pesa hamna ila kwenye mambo yao wenyewe pesa ipo ya kutosha...ni kusafiri na misafara mireeefu watu wengiii na wote wanalipwa 🤔
 
Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Sio kweli Kwa mshahara wa m1.3 lumpsum ni 39M na pension Kila mwezi inakaribia hiyo 500k
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Umeongea ukweli sana. Wabunge wa jiwe Kwa kuiba kura ni wapuuzi sana. Mungu atawahukumu Kwa laana kubwa Kwa vizazi vyao wote. Ni makatili sana na CCM ni janga Kwa Watanzania!
 
wakati huo mama anaupiga mwingi kwa safari zake zisizoisha
laiti hii kazi ninayoifanya sasa ingekuwaga kuna mtu alinishauri,
ningelimtafuta na kumpiga shaba.
ni kwamba tu ni kiherehere changu kusomea hii kazi kwa kuvutiwa na mavazi
Ikifika wakati wa uchaguzi wanaosaidia kuwapitisha watunga sheria hata wasiostahili si hawahawa wanaolalamikia kikokotoo!!! Wacha waendelee kukaangwa kwa mafuta yao wenyewe. Waliyataka wenyewe wanamlilia nani??!! Shauri yao na bado waongezewe moto labda watazinduka!!
 
huwezi ukatunga sheria halafu wewe ukajiexclude ,wabunge ni wahuni sana ,ni upuuzi walioufanya!! Naona kama hakuna haja ya kuwa na Bunge kabisa.
 
Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Yaani mtu aliyestaafu aendelee kufanya kazi kama mwekezaji?
 
Kuna mdada mmoja amelitumikia taifa hili kwa miaka 38, alipostaafu mwaka Jana walimpa 39,000,000/ mbunge anapata 18,000,000 kwa mwezi plus 230,000 +- kila aliingia kazini.
Kuna polisi alipewa chini ya milioni 30 ameshindwa kurudi kwao. Nasikia predeshee mtoto wa Kilwa road ataondoka na 20 M kwa mwezi.
Halafu Kuna wajinga watakwenda kumpokea Makonda Leo akikabidhiwa ofisi.
Halafu Kuna yule anayesema nanihii anaupiga kidogo.
 
Acha uongo, mfano ma prof vyuoni walipata mpaka mil 30 tu. Kwa ufupi kila mfuko ulikuwa na fomula yake, ila kwa sasa inatoa fursa sawa. Nimemtukana kwa sababu ni mjinga anapotosha watu. Kikokotoo cha sasa kinamuwezesha mstaafu kuishi bila wasiwasi kwa sababu monthly pension ni kubwa na mstaafu akiiwekeza vizuri lumpsum kwenye miradi mbali mbali inamlipa vizuri hata kama ikitokea lumpsum imeisha anaweza kuishi vizuri. Mleta maada aacha uzuzu
Mleta mada ni mpumbavu amewalenga wabunge tu, halafu hao warumishi walikuwa wapi wakati huo mswada unapita bungeni mbona sikuwahi kusikia kuna kizuizi chochote ili mswada huo usipite nao ni mapumbavu kama kupunjwa aacha wapunjwe ni ujinga wao.
 
Usimtukane. Kikotoo cha zamani mtu akistaafu mfano hai alilipwa milioni 150 kwa mkupuo kwa mtu aliyekuwa na mshagara mil karibu 2 kwa nwezi na amefanyakazi muda usiopungua miaka 30 na anendelea kulipwa laki 8 kila mwezi kwa maisha yake yote sio kwa miaka 12 tu baada ya kustaafu. Baada ya miaka 12 huyo mstaafu ataaga dunia kwa kukosa maisha. Ikumbukwe wengi wa wastaafu hutmia pesa ya mkupuo kujenga nyumba na kulipia ada za watoto wanakuwa vyuoni. Bila shaka hawezi kuanza biashara kwani hata wafanyabiashara kwa umri huo huwa wanawarithisha watoto biashara kama hufahamu hilo.
halafu hao watoto ndiyo nambari moja kusubiria hicho kikotoo lumpsum, wanagawana na mzee mstaafu na kuzitapanya bila ya kufanya lo lote la maana kwa asilimia kubwa. Matokeo yake yule mzee fedha zinakwisha bila ya kufanya la maana na anaishia kuwa ombaomba kwa hao watoto ambao wanakuja humu mitandaoni kulalamika kuwa wazee wao wanawasumbua kuwaomba fedha.
 
Mbona kwa kikokotoo cha zamani alipata lumpsum kubwa na bado akaendelea kupata monthly pension kubwa kulinganisha na sasa, rudisheni kikokotoo cha zamani acheni huu unyonyaji.​
niliwahi kumsikia Magu akisema serikali ilikuwa inawaongezea baadhi yenu wafanyakazi wa serikali mara nne zaidi ya ile michango yenu, na ndiyo mana wanapata fedha nyingi zaidi kuliko wafanyakazi wa taasisi nyingine wa mifuko kama ya NSSF na PPF.

Na hii imekuwa ikiwafaidisha zaidi akina katibu wakuu wastaafu.
 
Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
That reminds me of our proverb Which says that " An Elephant 🐘 that swims in coconut oil doesn't use ATM to buy meat from the pharmacy.🙂
 
Back
Top Bottom