Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Maisha yanavyokimbia kila Jambo unalofanya linapaswa kuwa kwenye maandishi. Kila jambo unalolipa linapaswa kuwa kuwa na risiti.
Kila kazi unayofanya unatakiwa kuwa na cheti kwa maana umekaa darasani ukasomea na kupata, hata kuchuna ng'ombe na mbuzi utatikiwa kuwa na cheti.
Kila biashara unayofanya leseni lazima,ili utambulike lazima uwe na kitambulisho. Utajikuta una kitambulisho Cha Taifa, Kura, machinga, uchunaji ngozi, ufundi seremala, fundi, nk
Hapo ujaweka vyeti vya shule, chuo, vyakuzaliwa, elimu ya dini, chanjo, bima, leseni, nk
Kwa mtiririko huu wa leseni, risiti na vitambulisho unashauriwa kujenga chumba maalum chakuhifadhi ili mamlaka za serikali zitakapokufikia uwakabidhi ufunguo waendelee na upekizi.
Ila tunapaswa kujiuliza, walioendelea nao wana leseni nyingi hivi? Vyeti vingi hivi? Vitambulisho vingi hivi?
Kwanini taasisi za serikali wasiwe na mfumo mmoja wa utoaji huduma ambao taarifa namba mfano kitambulisho Cha Taifa inaweza kuunganishwa na taasisi nyingine zote?
Kila kazi unayofanya unatakiwa kuwa na cheti kwa maana umekaa darasani ukasomea na kupata, hata kuchuna ng'ombe na mbuzi utatikiwa kuwa na cheti.
Kila biashara unayofanya leseni lazima,ili utambulike lazima uwe na kitambulisho. Utajikuta una kitambulisho Cha Taifa, Kura, machinga, uchunaji ngozi, ufundi seremala, fundi, nk
Hapo ujaweka vyeti vya shule, chuo, vyakuzaliwa, elimu ya dini, chanjo, bima, leseni, nk
Kwa mtiririko huu wa leseni, risiti na vitambulisho unashauriwa kujenga chumba maalum chakuhifadhi ili mamlaka za serikali zitakapokufikia uwakabidhi ufunguo waendelee na upekizi.
Ila tunapaswa kujiuliza, walioendelea nao wana leseni nyingi hivi? Vyeti vingi hivi? Vitambulisho vingi hivi?
Kwanini taasisi za serikali wasiwe na mfumo mmoja wa utoaji huduma ambao taarifa namba mfano kitambulisho Cha Taifa inaweza kuunganishwa na taasisi nyingine zote?