TIN ya maombi ya udereva nayo ni ID siku hizi? 😰Leseni huwezi kupata bila kuwa na TIN
🤣🤣🤣Just imagine usumbufu wallet ikipotea
Kadi ya mfuko wa mafao,kadi ya mpiga kura,bima?Siwezi miliki ma ID mengi kiasi hiki.
ID tano tu zinanitosha NIDA, Passport, leseni, Bank, Kazi.
Na yote haya yanakaa kwenye wallet bila shida.
Sihitaji kadi ya PSSF wala hiyo ya kura ndio hata siihitaji.Kadi ya mfuko wa mafao,kadi ya mpiga kura,bima?
NSSF/PSSSF, MEDICAL, KURA, BENKI NAYO SIYO MOJASiwezi miliki ma ID mengi kiasi hiki.
ID tano tu zinanitosha NIDA, Passport, leseni, Bank, Kazi.
Na yote haya yanakaa kwenye wallet bila shida.
Hicho cha kazi lazima kiambatane na mfuko wa hifadhi, pia lazima kiambatane na bima! Watu wengine bwana sifa za kijinga!!Sihitaji kadi ya PSSF wala hiyo ya kura ndio hata siihitaji.
Maisha ya kutegemea pensheni ni unakufa masikini.
Bahati mbaya sana Bima sikuipa kipaumbele.