Tujiulize, Rais anavyosema Utamaduni wetu kwenye siasa ni upi hasa?

Tujiulize, Rais anavyosema Utamaduni wetu kwenye siasa ni upi hasa?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Rais anavyosema mikutano ya siasa ifanyike kwa kuzingatia utamaduni wetu. Tanzania haina utamaduni mmoja kama nchi nyingi za Asia. Tanzania kuna tamaduni nyingi sana kuna makabila ambayo wanajifunika mpaka uso lakini makabila mengine wana kaa nusu uchi! sasa utamaduni wa Tanzania ni upi.

Kama nchi Poilisi wanatakiwa kufuata sheria na sio tamaduni. Hii ni kwasababu tukisema tufuate tamaduni basi Polisi na wanasheria watakuja kila siku na lipya. Kama kweli ni tamaduni muhimu basi ziwekwe kwenye sheria ili isije ikawa vyombo vya sheria ndivyo vituambie utamaduni wetu ni upi badala ya kufuata sheria.

Kama anayejua atuambie. Wakati wa Magu ulikuwa ukisema kadanganya ni shida je utamaduni wetu utaruhusu kusema Raisi Kadanganya!? Mimi wasiwasi wangu ni hapa
 
Kila Mtu akianza kuweka wasiwasi hahahaha anyway, CCM hawajapenda kabisa hii kitu
Kama anayejua atuambie. Wakati wa Magu ulikuwa ukisema kadanganya ni shida je utamaduni wetu utaruhusu kusema Raisi Kadanganya!? Mimi wasiwasi wangu ni hapa
 
Utamaduni wetu raisi ni Mungu mtu ndio maana ukimkosoa tu unafukuzwa kazi hata kama taasisi ni binafsi
 
Rais anavyosema mikutano ya siasa ifanyike kwa kuzingatia utamaduni wetu. Tanzania haina utamaduni mmoja kama nchi nyingi za Asia. Tanzania kuna tamaduni nyingi sana kuna makabila ambayo wanajifunika mpaka uso lakini makabila mengine wana kaa nusu uchi! sasa utamaduni wa Tanzania ni upi.

Kama nchi Poilisi wanatakiwa kufuata sheria na sio tamaduni. Hii ni kwasababu tukisema tufuate tamaduni basi Polisi na wanasheria watakuja kila siku na lipya. Kama kweli ni tamaduni muhimu basi ziwekwe kwenye sheria ili isije ikawa vyombo vya sheria ndivyo vituambie utamaduni wetu ni upi badala ya kufuata sheria.

Kama anayejua atuambie. Wakati wa Magu ulikuwa ukisema kadanganya ni shida je utamaduni wetu utaruhusu kusema Raisi Kadanganya!? Mimi wasiwasi wangu ni hapa


Nona sasa kuna watu wanaanza kunielewa na kuhoji hili
 
Hatutaki matusi. Labda wengine mlikuwa wadogo kwenye kampeni za 2010.

CDM walikuwa kama vichaa, hususani wale chawa, kuna kampeni zilifanyika Dar hiyo 2010, kichaa mmoja tena mtoto mdogo tu alipanda jukwaani tukio likiwa live kwenye televisheni akaanza kuropoka kuwa "Kikwete hajafundishwa adabu na mama yake, sisi CDM tunakweda kumfunza adabu.. " na maneno mengine ya kashfa, baadhi ya TV zilikata matangazo.

Sasa upumbavu huo ndio siasa?? Ndiyo hoja za chama?? Mbowe anayo kazi ya ziada kuwaweka kwenye mstari vijana wa chama chake maana wengi ni vichaa.
 
Back
Top Bottom