Tujiunge na kuanzisha JAMII FARM

Mkuu Malila na wengineo mlioamua kuwa pamoja ktk project hii, kwanza niwape pongezi zenu for daring to act!
pili, naomba kujiunga na kundi hili ktk project hii.
Nipeni taratibu za kufuata.

Asante
 
Jaribu ku-pm kwa kanyagio ili akupe nini cha kufanya kwa sasa.
 
Mgombezi uko wapi,

Jamii farm tayari imeshaanza.


Hongereni nyote mliothubutu kuanzisha na iwe mfano wa kuigwa mkivuna msiache kutuhabarisha nasisi tule vya nyumbani ..natamani ningekuwepo toka mnaanzisha ilo wazo..keep it up
 
Hongereni nyote mliothubutu kuanzisha na iwe mfano wa kuigwa mkivuna msiache kutuhabarisha nasisi tule vya nyumbani ..natamani ningekuwepo toka mnaanzisha ilo wazo..keep it up

Naomba nipokee hongera yako kwa niaba ya wenzangu, tutarudisha matokeo hapa jamvini muda si mrefu.
 
lolyz upo dada yangu!!
mambo ya Jamii farm ni bam bam, watu wanapanda miti kama hawana akili nzuri!1
 
Mgombezi uko wapi,

Jamii farm tayari imeshaanza.


Nimeangalia thread za miaka ya nyuma na kugundua kuwa wazo la Jamii Farms lililetwa Jukwaani na Ntareyehirungu June 2, 2010 saa 1450.

 
hahahahah kaazi kweli kweli panapokuwa hamna hot event wanaJF hujiburudisha
 
Nimeangalia thread za miaka ya nyuma na kugundua kuwa wazo la Jamii Farms lililetwa Jukwaani na Ntareyehirungu June 2, 2010 saa 1450.

Kweli mkuu,
Sijui kama jamaa anajua kuwa mchango wake ulizaa matunda na vijukuu? Mambo yanaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…