Tujiunge na kuanzisha JAMII FARM

Tujiunge na kuanzisha JAMII FARM

Haa, this is lovely,

kwa kipindi kirefu watnzania tumekuwa tunaongea tu hatuchukui hatua, kama vile tulivyo kuw atunapiga kelele haaa tumechokaka na utawala, tunanyanyaswa, nchi ni msikini kwa kukosa uadilifu.... lakini wengi hawakupiga kura... hii inachukiza sana

sasa jamani mm nonya juu ya siasa kuingi humu, tuwe waangalifu sana, tukumbuke watu wasion huruma pia wamo humu, tuwe makini katika kudisign hii movement.

Arrangement za vikao nk kwa speed hii inaridhisha, aliyependekeza early Jan 2011, namuunga mkono, niko tayari kutoa kila support itakayohitajika kwangu ikiwa ndani ya uwezo wangu!

Kuna watu wananiudhi kweli humu ndani, wanosema katu haliwezekani, nawashauri kama hawaoni uwezekano basi wasuburi waone, na pia ndugu zangu comments zilizo negetive namna hii inaonyesha ni jisni gani tlivyo na kazi ya kuwaelewesha watz hawa, tunapaswa kuwa polite kwao na kuwaelekeza wataelewa tuu. Nakushukuru Mgombezi unavyowachukulia.... asante kwa upole na ukarimu kwa watu hawa.

Pamoja daima, wanaofikiria kuwa ujamaa uliokufa enzi sa Mwalimu ndo unjamaa wa leo imekula kwao, Niwaulize watuambie ni akina nani wanamiliki CRDB, TBL, TCC nk kama sio watu wengi (wanahisa) na hii ndo modern Ujamaa, kwa nini tusione haya mambo kwa mtizamo huu?

Mabepari walikuwa wanaupinga ujamaa lakini wao sasa hivi ndo wanaona unafaa kwa kuweka hisa kwenye masoko yao!!! sasa ss tunaweka hisa za mwanzo hapa jamvini!! kwa mfumo wa mawazo yanaojenga, tunakuwa taratibu hatimaye kufanya informal, Formal!!

Pesa ni watu na Watu ndo sisi
 
Mkuu Mgombezi, hili wazo ni babu kubwa sana na hongera kwa kulileta hapa jamvini. Na ni moja kati ya mawazo mazuri yanayopita hapa JF na kujadiliwa bila kufanyiwa kazi. Cha muhimu ni kubadilisha approach ambazo tunatumia kuleta mawazo yetu ya kibiashara ili yawe mawazo endelevu. Kwa mfano, kwa wazo la kuanzisha JF Farm ni muhimu kwa mleta wazo kuja na draft project proposal na action plan ambazo wanaJF watajadili na ambao watakua tayari wataingia kwenye ng'oma...

Asante Realtor

Ni kweli watu tunakuwa/wanakuwa na mawazo mengi juu ya kuanzisha biashara/project fulani; lakini huo utaalamu wa project proposal inawezekana ukawa adimu katikati yetu. Hivyo basi ndiyo maana niliamua kuleta hili kama wazo na hayo mengineyo yataendelea kuchangiwa hapa jamvini, kwani ninaamini hii itaweza kuwasaidia na wengine ambao wanaweza kuwa na mawazo lakini wasifahamu jinsi ya kuanza.

Kutokana na michango ya wadau wengi imeonekana ni vyema kukutana kwanza wale wote ambao tuna same interest juu ya Kilimo na Ufugaji; vile vile ambao tuataonelea ni vyema kuwa na ushirika huu. Hivyo basi mchakato wa kukutana unaendelea na tutapeana taarifa zaidi.
 
Wakuu ndo wengine tumeshtukia hii thread,tunaomba feedback ya huo mkutano na maazimio..
Tuko pamoja
 
Elnino it is well said... na mimi binafsi nakubaliana kwamba mtaji ni kitu muhimu sana.. ila niseme kuwa kuna mitaji ya aina mbili, mtaji pesa na mtaji muda... kuna watu wana pesa lakini hawana muda wa kufuatilia nini kinaendelea shambani.. kwa hiyo tukiunganisha nguvu mambo yataji-compliment..

El nino aidha umegusia suala kubwa sana-- UHAMASISHAJI.. nakumbuka malila alishawahi kuratibu CHAI DAY.. na kweli nikili kwamba kwangu ilikuwa ni mojawapo ya mkutano uliobadilisha fikra zangu katika kilimo.. maana kwa sasa nimepata shamba katika baadhi ya maeneo na ninawekeza fedha kidogo ya mshahara wangu katika kufanya shughuli za kilimo.

kwa hiyo basi napendekeza, kama kweli tupo serious napendekeza watu wafuatao tupange tukutane kwa sababu nimeona tuna interest za kilimo:

  1. Malila
  2. Elnino
  3. Mimi (Kanyagio)
  4. Mgombezi
  5. Maskini Jeuri
  6. NewMzalendo
  7. mwingineyo anayemaanisha (narudia tena anayemaanisha kulima)
tukubaliane tukutane lini na wapi.

nimetaja watu wachache kwa sababu ili mambo yaende ni lazima kuwepo na kikundi kidogo cha kujitolea kutengeneza msingi then kundi kubwa zaidi linashirikishwa.

ahsanteni sana

Wakuu heri ya mwaka mpya, nawashukuru wote kwa michango murua, niombe samahani kwa kutoonekana ktk mjadala huu kwa muda, nilikuwa ktk utekelezaji wa maazimio ya Chai day tuliyowahi kufanya mwaka jana. Ktk chai day hiyo sisi kama vijana tulikubaliana kufanya large scale investment ktk land, na tumefanikiwa sana kwa mwaka uliopita. Nawahakikishia wanabodi uwezo huo wa kufanya mapinduzi tunao sana.

Hata sasa tunaendelea na utekelezaji wa maazimio yetu, hakuna hata mmoja aliye/anaye jutia kukutana kwetu. Kupitia mkutano ule ndio nikajua Wabongo hela wanazo,ila hawajui waweke wapi. Tulifanya jaribio la kuanzisha kijiji cha wafugaji na marafiki zangu, tumefanikiwa vizuri na hakuna aliyeibiwa, ila wote ni kicheko na kujilaumu kwa nini tumechelewa kuunganisha nguvu.
 
Kanyagio,

Wazo zuri na list mimi naikubali - kwa sababu ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka tukutane mara ya kwanza mwezi January 2011, kama wote tutaafikiana basi PM zitapita ili tubadilishane number za simu.

Mimi naamini kupitia Umoja basi kila kitu kinawezekana.

Naam naunga mkono hoja.
 
Haa, this is lovely,

kwa kipindi kirefu watnzania tumekuwa tunaongea tu hatuchukui hatua, kama vile tulivyo kuw atunapiga kelele haaa tumechokaka na utawala, tunanyanyaswa, nchi ni msikini kwa kukosa uadilifu.... lakini wengi hawakupiga kura... hii inachukiza sana

sasa jamani mm nonya juu ya siasa kuingi humu, tuwe waangalifu sana, tukumbuke watu wasion huruma pia wamo humu, tuwe makini katika kudisign hii movement.

Arrangement za vikao nk kwa speed hii inaridhisha, aliyependekeza early Jan 2011, namuunga mkono, niko tayari kutoa kila support itakayohitajika kwangu ikiwa ndani ya uwezo wangu!

Kuna watu wananiudhi kweli humu ndani, wanosema katu haliwezekani, nawashauri kama hawaoni uwezekano basi wasuburi waone, na pia ndugu zangu comments zilizo negetive namna hii inaonyesha ni jisni gani tlivyo na kazi ya kuwaelewesha watz hawa, tunapaswa kuwa polite kwao na kuwaelekeza wataelewa tuu. Nakushukuru Mgombezi unavyowachukulia.... asante kwa upole na ukarimu kwa watu hawa.

Pamoja daima, wanaofikiria kuwa ujamaa uliokufa enzi sa Mwalimu ndo unjamaa wa leo imekula kwao, Niwaulize watuambie ni akina nani wanamiliki CRDB, TBL, TCC nk kama sio watu wengi (wanahisa) na hii ndo modern Ujamaa, kwa nini tusione haya mambo kwa mtizamo huu?

Mabepari walikuwa wanaupinga ujamaa lakini wao sasa hivi ndo wanaona unafaa kwa kuweka hisa kwenye masoko yao!!! sasa ss tunaweka hisa za mwanzo hapa jamvini!! kwa mfumo wa mawazo yanaojenga, tunakuwa taratibu hatimaye kufanya informal, Formal!!

Pesa ni watu na Watu ndo sisi

Hata sasa waoga wanaodhani haiwezekani wapo, ila tunaosema inawezekana tupo, usijali idadi yetu. Mimi naamini ktk vitendo huko field. Twendeni.
 
haya tunaanzia wapi,{location} when? estimated initial investment ,expected ROI.
Hata sasa waoga wanaodhani haiwezekani wapo, ila tunaosema inawezekana tupo, usijali idadi yetu. Mimi naamini ktk vitendo huko field. Twendeni.
 
wazo zuri. then a venue should be selected

siku hazigandi, mlioko dar mna nafasi nzuri ya kutafuta venue ili tuanzie hapo. Tahadhali, tulipoandaa chai day siku ya kwanza watu walikuja wengi na tukalipia ukumbi bila taabu, mara ya pili ilibidi kutoa mfukoni kwangu ili kujazia malipo. Sasa mahali pa kukutana ni muhimu gharama zikaangaliwa kabla.
 
siku hazigandi, mlioko dar mna nafasi nzuri ya kutafuta venue ili tuanzie hapo. Tahadhali, tulipoandaa chai day siku ya kwanza watu walikuja wengi na tukalipia ukumbi bila taabu, mara ya pili ilibidi kutoa mfukoni kwangu ili kujazia malipo. Sasa mahali pa kukutana ni muhimu gharama zikaangaliwa kabla.

Mkuu Malila nimeku-PM 2 days ago!

Naomba mliopo DAR kusaidia kutoa mapendekezo ya Venue pamoja na gharama zake.
 
Mkuu Malila nimeku-PM 2 days ago!

Naomba mliopo DAR kusaidia kutoa mapendekezo ya Venue pamoja na gharama zake.

Naamini nimejibu pm uliyonitumia, kuondoa utata narudia tena mkuu. Asante.
 
Mbona hakuna feedback ya kinachoendelea huko town? Au ndo yale yale ya kila siku wakuu? Hata kutoa pendekezo la ukumbi? Mimi niko nje ya Dar kwa sasa.
 
mimi napendekeza eneo la Milenium Towers,either pale Pembeni ya Break Point au Makumbusho ,Date and Time itabidi tukubaliane
 
Naomba tuwasiliane mie ni mtaalamu wa kilimo hili linawezekana kabisa na hasa sasa pamba inalipa mbaya
 
ndugu wanajamii tukubaliane lini tutakuwa na muda wa kufanya mkutano huo ,. then kila mtu aandae elfu kama elfu kumi mpaka 15 kwa ajiili ya gharama za ukumbi (inaweza kupungua au kuongezeka kutegemeana na idadi ya watu).. ukumbi upatikana tu.
 
Mkuu eneo au ukumbi unaopendekezwa uwe na walau parking ili wenye usafiri wao wasiteseke, suala la ulinzi liangaliwe pia,sio kama mlimani city.
 
Back
Top Bottom