Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 259
Haa, this is lovely,
kwa kipindi kirefu watnzania tumekuwa tunaongea tu hatuchukui hatua, kama vile tulivyo kuw atunapiga kelele haaa tumechokaka na utawala, tunanyanyaswa, nchi ni msikini kwa kukosa uadilifu.... lakini wengi hawakupiga kura... hii inachukiza sana
sasa jamani mm nonya juu ya siasa kuingi humu, tuwe waangalifu sana, tukumbuke watu wasion huruma pia wamo humu, tuwe makini katika kudisign hii movement.
Arrangement za vikao nk kwa speed hii inaridhisha, aliyependekeza early Jan 2011, namuunga mkono, niko tayari kutoa kila support itakayohitajika kwangu ikiwa ndani ya uwezo wangu!
Kuna watu wananiudhi kweli humu ndani, wanosema katu haliwezekani, nawashauri kama hawaoni uwezekano basi wasuburi waone, na pia ndugu zangu comments zilizo negetive namna hii inaonyesha ni jisni gani tlivyo na kazi ya kuwaelewesha watz hawa, tunapaswa kuwa polite kwao na kuwaelekeza wataelewa tuu. Nakushukuru Mgombezi unavyowachukulia.... asante kwa upole na ukarimu kwa watu hawa.
Pamoja daima, wanaofikiria kuwa ujamaa uliokufa enzi sa Mwalimu ndo unjamaa wa leo imekula kwao, Niwaulize watuambie ni akina nani wanamiliki CRDB, TBL, TCC nk kama sio watu wengi (wanahisa) na hii ndo modern Ujamaa, kwa nini tusione haya mambo kwa mtizamo huu?
Mabepari walikuwa wanaupinga ujamaa lakini wao sasa hivi ndo wanaona unafaa kwa kuweka hisa kwenye masoko yao!!! sasa ss tunaweka hisa za mwanzo hapa jamvini!! kwa mfumo wa mawazo yanaojenga, tunakuwa taratibu hatimaye kufanya informal, Formal!!
Pesa ni watu na Watu ndo sisi
kwa kipindi kirefu watnzania tumekuwa tunaongea tu hatuchukui hatua, kama vile tulivyo kuw atunapiga kelele haaa tumechokaka na utawala, tunanyanyaswa, nchi ni msikini kwa kukosa uadilifu.... lakini wengi hawakupiga kura... hii inachukiza sana
sasa jamani mm nonya juu ya siasa kuingi humu, tuwe waangalifu sana, tukumbuke watu wasion huruma pia wamo humu, tuwe makini katika kudisign hii movement.
Arrangement za vikao nk kwa speed hii inaridhisha, aliyependekeza early Jan 2011, namuunga mkono, niko tayari kutoa kila support itakayohitajika kwangu ikiwa ndani ya uwezo wangu!
Kuna watu wananiudhi kweli humu ndani, wanosema katu haliwezekani, nawashauri kama hawaoni uwezekano basi wasuburi waone, na pia ndugu zangu comments zilizo negetive namna hii inaonyesha ni jisni gani tlivyo na kazi ya kuwaelewesha watz hawa, tunapaswa kuwa polite kwao na kuwaelekeza wataelewa tuu. Nakushukuru Mgombezi unavyowachukulia.... asante kwa upole na ukarimu kwa watu hawa.
Pamoja daima, wanaofikiria kuwa ujamaa uliokufa enzi sa Mwalimu ndo unjamaa wa leo imekula kwao, Niwaulize watuambie ni akina nani wanamiliki CRDB, TBL, TCC nk kama sio watu wengi (wanahisa) na hii ndo modern Ujamaa, kwa nini tusione haya mambo kwa mtizamo huu?
Mabepari walikuwa wanaupinga ujamaa lakini wao sasa hivi ndo wanaona unafaa kwa kuweka hisa kwenye masoko yao!!! sasa ss tunaweka hisa za mwanzo hapa jamvini!! kwa mfumo wa mawazo yanaojenga, tunakuwa taratibu hatimaye kufanya informal, Formal!!
Pesa ni watu na Watu ndo sisi