Tujivue gamba ni wakati sahihi

Tujivue gamba ni wakati sahihi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!
 
sio kwamba ccm walijivua gamba kipindi fulani 😂

ila no way hata nyoka anazeeka
 
Tuwe makini na Lissu ni very divisive na CHADEMA itageuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi kuliko chama cha siasa.
 
Tuwe makini na Lissu ni very divisive na CHADEMA itageuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi kuliko chama cha siasa.
Ccm wanapenda CHADEMA kiendelee kuwa Chama cha siasa kama unavyodai ili waendelee kuwatendea haya wanayotendea bila kukutana na upinzani wowote.

Imagine mfanyakazi wenu ametekwa na wengine wameuwawa na bado mnaendelea kuingia ofisini kana kwamba hakijatokea kitu.

Huku mnatamba na kauli za Tunalaani, Tunalitaka jeshi la polisi lifanye uchunguzi..Come on!
 
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!
Ila nionavyo nyoka atazeeka na kupoteza uoni.
 
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!
Haondoki mtu, wacha kife kuliko kumkabidhi mropokaji chiba
 
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!

Wenje, Yeriko, MMM, Sugu, retiree, Kilewela, Yonda, Erythrocytes, na Ile michawa minginebitakuelewa kweli?

Kwamba ikale wapi sasa?
 
Tuwe makini na Lissu ni very divisive na CHADEMA itageuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi kuliko chama cha siasa.
Chama cha Siasa kimesaidia ni nini hadi sasa hivi?
Ukiamua kupigana usinipangie silaha
 
Kama ingekuwa inawezekana CDM ingekubaliana na hili, japo hata FAM anaamini atafanya mapya sbb akishinda this time atajua kuwa style yake wengi wameichoka, hii inaweza saidia akabadirika akawa focused na upinzani kuliko anayoyaita meridhiano
 
Wenje, Yeriko, MMM, Sugu, retiree, Kilewela, Yonda, Erythrocytes, na Ile michawa minginebitakuelewa kweli?

Kwamba ikale wapi sasa?
Chama ni kikubwa kuliko watu
 
upinzani kuliko anayoyaita meridhiano
Juzi kwenye uchaguzi, Lisu na Wenje wamefanya nini kwenye maeneo yao kuonesha nguvu ya upinzania kuwa ni bora kuliko maridhiano? Unadhani 2025 watafanya nini? sana sana akiwakera kupitiliz watamtafutia visa na "kummaliza"
 
Juzi kwenye uchaguzi, Lisu na Wenje wamefanya nini kwenye maeneo yao kuonesha nguvu ya upinzania kuwa ni bora kuliko maridhiano? Unadhani 2025 watafanya nini? sana sana akiwakera kupitiliz watamtafutia visa na "kummaliza"
Watafanya nini ilihali kuna katiba ya chama? Na unajua kabisa kiongozi mkuu ni mkiti wa chama...!
 
Back
Top Bottom