let me assume kua unatania ila hauko serious na hilo jibuNo 1
Kwann uasume?? Ni chemsha bongo...right??let me assume kua unatania ila hauko serious na hilo jibu
ππππππKikombe no.4 kitapata maji kabla ya vikombe vingine kutokana na uwazi uliopo kwenye main tube ambao upo uelekeo sambamba na kikombe no.4 baada ya pressure ya maji kuwa kubwa kutokana na kufungwa kwa tubes zingine.