COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Hao jukwaa Lao lipo mtaa wa MMUvipi kuhusu mafundi wa kitandani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao jukwaa Lao lipo mtaa wa MMUvipi kuhusu mafundi wa kitandani?
Tupo pamoja fundi.. japo sijajua wewe ni fundi...?Karibu sana mkuu
Ahahahha nyie ndio mjafanya mafundi tuonekane watu wa hovyo aiseeeeFundi paa hapa, nakaza kila jengo
Napaua majengo yote, napiga kazi pamoja na wife. Gharama zetu nafuu sana
Wasalam...
Ikiwa ni ijumaa safi kabisa yenye baraka na fanaka tele...
Bila kuwachelewesha leo naomba niwakutanishe na mafundi wote ambao wapo hapa jf kutatua shida mbali mbali ukiachana na mimi Fundi manyumba au fundi bishoo
Ila kuna wenzetu wengi ambao wamekua wakitoa michango mbali mbali hapa jf...
kama unakutana na shida mbali mbali unaweza pitia hapa ukakuta na na mafundi bora kabisa kama vile -:
fundi car parking shades
Fundi CEO
Fundi dls24
Fundi hisense Lg Samsung
Fundi kipara
Fundi kitasa
Fundi manyumba
Fund man
Fundi mcheshi
Fundi Mchundo
Bado tuna hitaji mafundi zaidi na zaidi wakiwepo fundi nguo na fundi cherehani...
Asanten
SView attachment 3059635
Nini hiki ahahah