Tujuane wana JF wa Mwanza

Lok OTE=charminglady;88223Aermmh.... Wewe utakuwa mmoja wa wale waliopiga mawe Mheshimiwa Mabina mpaka akadedi!!! :angry:[/QUOTE]

Lol we acha nisije kulala sero...unapafahamu Kanyerere lakini?
 
Nyakato national. Nahitaji kuwajua majirani zangu.
 
Hahahaha labda ndo meneja wa gold krest buana

Ha ha haaa, hata akiwa meneja ndo akae hapohapo? Atawezaje kuishi na famil, yan akizubaa kidogo tu wife wake anazama club hapo ground floor. Lazima awe na kwake. Labda aseme yeye ni guest hapo hotelini.
 
Mimi nakaa kwenye yale mabugando makao mapya karibu na mheshimiwa Wenje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…