na mimi nyege.ziNyegezi
Nimekuelewa. Na wewe nielewe.
Mkolani
Twende kazi pasiasi hapaHabari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii
Nyegezi corner ndo kitaa changu
Capripoint
Kirumba hapa, bingwa na mfanyabiashara maarufu
Mh! Ha ha haa, Inamaana unaishi humo hotelini au?
Hahahaha labda ndo meneja wa gold krest buana