kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 613
- 791
Mshambuliaji mwenye asili ya Guinea kinda Lamine Diaby-Fadiga anayekipiga na klabu ya Nice (Ufaransa) anatuhumiwa kuiba saa ya mchezaji mwenzake nyota aliyesajiliwa kutoka Ajax, Kasper Dolberg.
Saa hiyo inathamani ya Β£62,000 (zaidi ya shilingi million 175 za Tanzania), Diaby amekiri kuchukua saa hiyo iliyokuwa imeachwa na mchezaji mwezake kwenye chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
β’
Diaby ameshaomba radhi kwa mchezaji mwenzake ambaye alimuibia saa pamoja na kocha wa Nice Patrick Viera.
Jambo hili huenda likamchafua sana Lamine Diaby-Fadiga mbele ya safari kwa kupita na saa ya mchezaji mwenzake.
Saa hiyo inathamani ya Β£62,000 (zaidi ya shilingi million 175 za Tanzania), Diaby amekiri kuchukua saa hiyo iliyokuwa imeachwa na mchezaji mwezake kwenye chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
β’
Diaby ameshaomba radhi kwa mchezaji mwenzake ambaye alimuibia saa pamoja na kocha wa Nice Patrick Viera.
Jambo hili huenda likamchafua sana Lamine Diaby-Fadiga mbele ya safari kwa kupita na saa ya mchezaji mwenzake.