otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Chako ni ChakoTujuane mikoa tunayoishi.....ukipata mwenzako msalimie[emoji12]
Broo unaishi kigoma kwani we ni mgebuka?Manyovu Kigoma
Karibu sumbawangaWana jf wote tunaishi Dar,sema tutaje mitaa tu,
Buguruni kwa mnyamani, karibuni
Toka unikimbie huku nyumbani songwe mambo hayaendi kabisa tafadhali rudiWana jf wote tunaishi Dar,sema tutaje mitaa tu,
Buguruni kwa mnyamani, karibuni
Mjeda wangu,ngoja nije[emoji1435]Toka unikimbie huku nyumbani songwe mambo hayaendi kabisa tafadhali rudi
Wachawi wengiKaribu sumbawanga
Nilijikuta navuta hewa nikiwa hapaBroo unaishi kigoma kwani we ni mgebuka?