Tujue sheria zetu

Tujue sheria zetu

Daniel Wanga

Member
Joined
Oct 26, 2015
Posts
38
Reaction score
3
Samahanini naomba kuuliza. ikitokea maeneo ya mgodi yamechafuliwa na uchafu wa kutoka mgodini kama vile vumbi au kemikali na hakuna madhara yaliyothibitika, je ni hatua zipi watu au serikali inaweza chukua kuzui uchafuzi huo?
 
Back
Top Bottom