Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada Mange huwezi amini sasa hivi ni saa 8 kamili mchana, hii Serikali sijui inatupeleka wapi.Da Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi
Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Da Mange naomba unichambie Okwi ananiudhi sana na this time ndio anazidi na masifa yake and you know what??? sio Mtanzania....Hide my ID plzzz.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Dada Mange huwezi amini sasa hivi ni saa 8 kamili mchana, hii Serikali sijui inatupeleka wapi.
Plz hide my ID[emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Da Mange naomba unichambie Okwi ananiudhi sana na this time ndio anazidi na masifa yake and you know what??? sio Mtanzania....Hide my ID plzzz.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Lengo lake ni kusaka followers halaf huyu dada kila siku watu wanazidi kumuelewa kuw sio mzimanilisoma hapa nikaona kile kichwa hakina nut zote kukesha kote huko instagram na kusoma anayotumiwa na watu wa hide my id angeutumia hata kujifunza fx angekuwa ana milk $$
View attachment 694470
Enhee wahenga wote haya twayajua! Hivi matola alikuwa anamtetea linda bedui enhe. Nimewamiss sana wambea wa enzi zile.Eeeeeh
Mange ana threads juu yake nyingi tu humu JF za miaka na miaka.. burudani sana
Hata Matola aliwahi kufungua thread akidai anamtetea mteja wake wa USA.. ambaye ni mke wa rafiki yake kutokana na kurumbana na Mangenita.. alimdisi weee ila siku hizi ni mtetezi wake kwa top 5 humu.. kisa siasa.. eeeeh CDM ya Mange anawafuasi wengine humu mshangao kwetu.. burudani tu JF
JF burudani haswaaaa eeeh
Tujikumbushe uongo aliowahi kuusema mzee wa familia a.k.a JP.
- Niliingia madarakani sukari ikiuzwa tshs 5,000/=
- Tunajenga reli kwa hela ya ndani bila kutegemea mkopo
- Naomba vyombo vya dola vihakikishe vinawakamata wote waliohusika kumshambulia TL
- Huwezi kuharibu hapa nikakuhamisha kukupeleka pengine, nakufukuza moja kwa moja
Ongezeni na mengine baadae tulinganishe kati yake na Mange ni yupi yupo kwenye vyanzo vizuri vya habari