Tujukumbushe uongo mbalimbali aliowahi kusema Mange Kimambi

Nitatoa milioni 50 kila kijiji
 
Lile ni tahira linachopewa mbio kwenda kukipost nasikitishwa na sana na msomi kumtegemea mange kuwa ni mtoa taarifa zenye uhakika
Rais wa Kuwait ni Saddam Hussein, sukari kilo sh5000 ,bora tahira Mange kuliko huyu CHOKO
 
Mange kimambi sio mwanaharakati .. ila yeye mwanachuki... anafanya vitu kwa kuchukia kitu fulani au kumchukia mtu fulani... hatuwezi kumuheshima kama mwanaharakati...
Mwanaharakati ki vipi na udictator? Usipokubaliana na yeye anakutusi. Kisha hapendi anoawaona wako chini yake ki class wakimshinda kimaisha. Juzi alisema akipewa ubalozi wa amerika atarudi CCM. Anatafuta meaning in her useless existence.
 
Kweli nyie mnaompinga ndio malofa kabisaa tena nahisi mna mtindio fulani, kwasababu mnawatukana wanaomfollow huku maneno yenu yanaonesha ninyi pia mmepata hadi fulsa ya kufanya analysis ya post zake which means you are interested in her activities. Anachofanya it is politics na always politics ni uongo na usanii sanii tu, anza kwa kumchunguza Diwani wako,mbunge wako, mawaziri na raisi nk , kunamambo wanaonekana waongo pia kwakua wanadanganywa na sources za taarifa zao, pia kwa Yale ambayo hayajatekelezeka huwafanya waongo wakutupwa bora hata mange.
 
Mkimaliza kujadili hayo mnayodai alidanganya mgeukie na yale alosema na yakawa ya kweli ili tuone ni ya upande upi yalozidi!
 
Nilitegemea hiyo post yako ungeweka na udhibitisho kama alichosema Ni uongo na ukweli uko hivi. Ila na wewe Inaonekana kuwa muongo na muoga kuliko Mange.
Here comes another msukule wa da mange
 
App yake imefikia wapi? Nilisikia watu walituma sana hela kupata access ila kukawa na mushkeli. Walirudishiwa pesa yao au app iko active tayari?
 
Mnaomfahm au mawasiliano yake mnayo mwambieni ajitokeze jf aje kujibu tuhuma zinazomkabili
Hawezi kuja huku kwenye open forums kama hii,

Huko Insta kwenyewe wakimbana kidogo tu hua anawa block halafu analilia freedom of speech wakati followers wake mwenyewe hawana hiyo freedom..hide my ID please!
 
Niliamini maneno ya Dr mmoja aliniambia binadamu wote wanamatatizo ya akiri sema tofauti ipo kwenye kiwango cha confusion na maranyingi huonekana katika situation flan flan, kila mtu ana situation ya ambayo dalili zinaweza kuonyesha. Mf mwingine anakua mwehu akifulia wkt mwingine anawehuka akikamata pesa, mwingine anaaribikiwa na ufahamu akipata mmpenz wakati mwingine akiachika anakuwa km
mwendawazimu. So haya matatizo ya kisaikolojia yanaathiri sana brain, vitu km umalaya, ulevi, ugomvi, umbeya, wizi, utukutu na uongo wkt mwingine yanatokana na tatizo la brain kiasi akipata mtaalam wa saikolojia anabadirika na huwezi amini. Mf. Mwanamke km haridhiki kimapenz kwa mumewe, humjengea hasira na kuwa mkali na km ni bosi ofcn mtapata shida, kipindi cha mwambo km ni waajiriwa mwanaume anakua mkali, na mwisho mtu mwenye msongo wa mawazo, unaweza muuliza kitu vzr lkn yeye akakutukana. So watu wengi wapo km machiz fresh, wanategemea na mwandamo wa mwezi na ni watu wachache sn ambao utawakuta wapo normal wkt wote.
 
yule anaujauzito wa yuleee
yule mrembo wema atarudi chama kikubwa
 
Mmmh mbona kama unamsema baba la baba mwenyewe , manaake kuna mifano inamlenga kwa asilimia mia, mtu asieshaurika, aliejigundua mwenyewe kuwa anafaa na akajipitisha mwenyewe mzee wa kufuta Uhuru wa mawazo kinzani[emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…