1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 604
Wadau nakuja tena jukwaani kwa mara nyingine kutaka kujifunza zaidi kutoka kwenu!
Leo ningependa kupata elimu toka kwenu juu ya kitu kinachoitwa Giligilani au Coriander kwa lugha ya kigeni!
Ningependa kujua tu je zao ili linalimwa wapi hasa na juu ya hali ya hewa inayohitajika kulima zao hili!
Zao hili ni kiungo(Recipe) na linauzwa sana kwenye masoko hasa ya ndugu zetu wenye asili ya bara la Asia na hata kusafirishwa zaidi nje!
Kwa mdau yeyote mwenye uelewa zaidi juu ya zao ili naomba atupe shule zaidi
Leo ningependa kupata elimu toka kwenu juu ya kitu kinachoitwa Giligilani au Coriander kwa lugha ya kigeni!
Ningependa kujua tu je zao ili linalimwa wapi hasa na juu ya hali ya hewa inayohitajika kulima zao hili!
Zao hili ni kiungo(Recipe) na linauzwa sana kwenye masoko hasa ya ndugu zetu wenye asili ya bara la Asia na hata kusafirishwa zaidi nje!
Kwa mdau yeyote mwenye uelewa zaidi juu ya zao ili naomba atupe shule zaidi
Natumaini wadau wa kilimo chakula na kilimo biashara hamjambo,
Ninalo hitaji la kulima zao la giligilani kuanzia mwezi wa 2 mwaka huu, hivyo basi naomba majibu juu ya aina ya mbegu bora ya giligilani ya kuvuna mbegu pia na upatikanaji wake kwa mikoa ya kanda ya ziwa,
Pia naomba kujua kuhusu soko la giligilani za mbegu kwa kanda ya ziwa na Tanzania nzima ama Afrika mashariki.