Bei ya moto sana?
Ulinirecomend Dove soap hadi x wangu ananisifia nina ng'aa siku hizi.
Taratibu bwanaaa.. Nimeanza na Sabuni na Lotion.. Niongeze nini sasa. 🤣🤣🤣.Hahhaaa Hamna kukaa kinyonge ukipiga na Showergel yake
Uweke Old spices stick deodorant
Umalizie na hicho kitu hapo
Dada anaomba namba upyaa
Bwana hii ya moto bei ya Jeans 6 ujue.. Ebu nitafutie iliopoa poa below 40 hivi.. 😥😥😥Hapana ni 120,000 tu Halafu ni Nzuri
Mi mwenyewe nimetia nanga
Hapa ckupingi, nliitumia hii mwaka wa juziView attachment 2387448
Tutulie hapa
We acha masihara hiyo ndio bei ya hiyo perfume kwahiyo kumbe mfuko umetoboka650,000/=
Mdau niambie bei ya hiyo Dove sabuni na lotion maana kwenye sabuni bado sijapata chaka sahihiTaratibu bwanaaa.. Nimeanza na Sabuni na Lotion.. Niongeze nini sasa. 🤣🤣🤣.
Dove unapata kwa 4000 zipo za aina tofauti.Mdau niambie bei ya hiyo Dove sabuni na lotion maana kwenye sabuni bado sijapata chaka sahihi
Bro perfume kwa 600k dah bado sana. Kuna kipindi napendeza Nilinunua perfume elfu 30 aisee siku nipo misele madogo wakapuliz yote nililia sana ile siku mshua akauliza unalia kisa perfume kwan umenunua bei gan ikabidi niseme elfu 3 maana home ukisema umenunua perfume 30 dah hela ya kula family mwezi mzima mshua alinitoa buku 2 akasema nikaongezee buku ninunue.. ila one day tutanukia izo za madolali mzee ngoja akarakati ziendeleeWe acha masihara hiyo ndio bei ya hiyo perfume kwahiyo kumbe mfuko umetoboka
Nachoshangaa kwamba nna perfume ya 600k bila kujua thamani yake au muandishi kakosea ni 65kBro perfume kwa 600k dah bado sana. Kuna kipindi napendeza Nilinunua perfume elfu 30 aisee siku nipo misele madogo wakapuliz yote nililia sana ile siku mshua akauliza unalia kisa perfume kwan umenunua bei gan ikabidi niseme elfu 3 maana home ukisema umenunua perfume 30 dah hela ya kula family mwezi mzima mshua alinitoa buku 2 akasema nikaongezee buku ninunue.. ila one day tutanukia izo za madolali mzee ngoja akarakati ziendelee
Hapo nimeelewa mzee kwahiyo misifa yote iende kwa madamDove unapata kwa 4000 zipo za aina tofauti.
Lotions Nilinunua ya 22 unyama sana..
Uyo Madam Hornet ni Mwaisa kinoma ova Pharmacist.. Anazijua sana
Apewe Ulinzi na eskoti ya king'ora aiseeHapo nimeelewa mzee kwahiyo misifa yote iende kwa madam
Unaweza. Tueleza kwann unatumia pia ni unanuka au
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe jee?
Dove soap ni elf 3 tuMdau niambie bei ya hiyo Dove sabuni na lotion maana kwenye sabuni bado sijapata chaka sahihi
Ahsante brotherDove soap ni elf 3 tu
Nimebuy leoView attachment 2389168
price?View attachment 2392917
Next time chukua hii hapa utaenjoy
Dove unapata kwa 4000 zipo za aina tofauti.
Lotions Nilinunua ya 22 unyama sana..
Uyo Madam Hornet ni Mwaisa kinoma ova Pharmacist.. Anazijua sana