Mara nying wale hawatumii perfume wanajifukiza udi zle zna arufu nzur Yan inakaa mda mrefu sna hata ukifua nguo bado utaisikia pia mbali na kujigukiza zpo za kufulia kweny nguo
[emoji1787] [emoji1787] Syrian Exhibition ndio pahala pangu pakujidai yaani huwa nanunua za mwaka mzima. ile ya mwezi wa nne ilinipita nikaumia sana alafu mbaya zaidi ndio nilikuwa nimegawa stock niliyo kuwa nayo. uzuri saa hizi wamefungua duka pale mlimani, sina hakika kama zina ubora kama ule ule.
Basi imekula kwangu kwa mara nyingine. ni juzi tu nimemgawia jamaa yangu moja nikijua zipo pale kumbe.....Pale Mlimani feki sana haikai hata masaa 4
ilikuwa wiki kama mbili ama tatu zilizopita nadhani watakuja tena April Next yearNasubiria syrian exhibition nitaenda nunua
ilikuwa wiki kama mbili ama tatu zilizopita nadhani watakuja tena April Next year
hio BVLGARI naipta wap maana nshaitafuta sana bila mafanikio
Niliiotea lakini ndio hivyo sikuchukua mzigo wa kutosha. walisema wanakuja February hivyo nikachukua za kunifikisha hapo. ila nina mashaka kama watakuja Feb.syrian exhibition last month ilifanyika pia ila haikusikika sana watu wengi wamezoea ile ya mwanzo wa mwaka, lile duka lao albaity perfumes mlimani wazushi, wana perfumes chache na nadhani zimekuwa diluted ukipaka ni tofauti na za wasyria kwnye ile exhibition yao
Wanatoka UAE na jina lao halisi ni albait aldimashqi -Perfume that smell like BrandedHivi wale wanatokea Syria kweli au wanatudanganya maana Syria sio
basi huko sithubutu kwenda ngoja nibane matumiziZa mlimani wanatuuzia feki kabisa
Wanatoka UAE na jina lao halisi ni albait aldimashqi -Perfume that smell like Branded
Nyingi tu. Ila ukijipuliza we wape mademu hag lazima urasikia Fursakibao you smell nice [emoji23][emoji23][emoji23]Ni perfume zipi haswa wako nazo?
hio BVLGARI naipta wap maana nshaitafuta sana bila mafanikio
Hiyo kitu uliipatia wapi mkuuAtakaetumia hii kitu hawezi juta, Only 30k.View attachment 1213223
Kama upo dsm nenda mlimani city mall... Kwenye maduka ya S.H HARMONY na lile duka la dawa linaangaliana na NBC bank Mlimani cty..Umeitafuta wapi?
Nina uhakika kabisa ukienda kwenye Bvlgari boutique utaipata...
Za mlimani wanatuuzia feki kabisa
Kama upo dsm nenda mlimani city mall... Kwenye maduka ya S.H HARMONY na lile duka la dawa linaangaliana na NBC bank Mlimani cty..