Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,600
Fighting Temptation ni Habari ya Mjini
Nimeanza kuitumia tokea mwaka 2004 na sijawahi kujutiaaaa
Fighting Temptation ni Habari ya Mjini
Ss si utanuka shombo la mavi kama hutumii spry?!Upo km mieeeeeh, yaaan hata jelly za kawaida natumia basi tyuuuuh, ila hata sizikubali lol
kwahiyo wee unavonuka usivyojua usafi na unadhifu ndo unadhan kila mtu? Poleee sana MsieeeeeeewSs si utanuka shombo la mavi kama hutumii spry?!
Ss si utanuka shombo la mavi kama hutumii spry?!
Ni nzuri? Ndo madem wanaipenda eti ukipaka?
kaka iyo kitu ni hatari...ngoja nimalizie na body spray yake
Ngoja mwisho wa mwezi nizame madukani
Bodyspray inauzwa buku tanoTafadhali nitajie estimated price. Yaani madukan niende na shingapi labda.
Elfu 25
Kama upo dsm kkoo mitaa ya agrey kuna duka kali la hivyo vyombo vy kunukia
Habari kaka. Nataka niende Kariakoo mchana huu, pamoja na mahitaji mengine nahitaji perfume/body spray.
Naona wengi wanazisifia:
Fighting Tempation
Blue for Men
Wewe unanishauri nichukue ipi, kati ya hizo, mfano nikachukua body spray zake tu itakua fresh?
Nielekeze hilo duka mkuu kama unaweza. Asante
Habari kaka. Nataka niende Kariakoo mchana huu, pamoja na mahitaji mengine nahitaji perfume/body spray.
Naona wengi wanazisifia:
Fighting Tempation
Blue for Men
Wewe unanishauri nichukue ipi, kati ya hizo, mfano nikachukua body spray zake tu itakua fresh?
Nielekeze hilo duka mkuu kama unaweza. Asante
Kwa hiyo na ww unazid kui promote na mm ngoja nikaitafute sasa [emoji28][emoji28][emoji28]Hii kitu nimeanza kuitumia juzi baada ya kuona wajuba wameipromoti Sana...mpaka Sasa ni Vita kitaa wadau wanataka kujua mnyama nnaemtumia..wadada ndo acha kabisaaa
Mkuu ilivosifiwa umu ikabidi nikaitafute...ni hatari na nusuKwa hiyo na ww unazid kui promote na mm ngoja nikaitafute sasa [emoji28][emoji28][emoji28]
Watu wa dizaini yako wanahitaji usafi wa hali ya juu bila hivyo utanuka mavi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]kwahiyo wee unavonuka usivyojua usafi na unadhifu ndo unadhan kila mtu? Poleee sana Msieeeeeeew
Huyo jamaa ni dizaini ya kina James Delicious mkuuKwann mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Unatafuta promo kupitia me? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watakufuata tyuuuh wahusika wako, poleeeeeeh sanaaaah.Watu wa dizaini yako wanahitaji usafi wa hali ya juu bila hivyo utanuka mavi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ss hivi humu jukwaani naona unaitwa baby na unafurahiii kiroho safi,acha kutoa tako mshikaji wangu wazazi wako hawajisikii poa arifuuUnatafuta promo kupitia me? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watakufuata tyuuuh wahusika wako, poleeeeeeh sanaaaah.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app