[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unateseka eeeh, poleeeeeeh sanaaahSs hivi humu jukwaani naona unaitwa baby na unafurahiii kiroho safi,acha kutoa tako mshikaji wangu wazazi wako hawajisikii poa arifuu
Nakuja pm pls nipokee basi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unateseka eeeh, poleeeeeeh sanaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hizi commedy zinapatikana kwako. Duuuuh hatareeeeh sanaahNakuja pm pls nipokee basi [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu ilivosifiwa umu ikabidi nikaitafute...ni hatari na nusu
Zipo perfume maalumu ambazo zinachemical iitwayo pheromones ambayo mwanamke akiisikia basi mwili wake unasisimka na anapata hisia za mapenzi.ila zna bei, pia kuna zngne zna harufu tamu sana utasifiwe sana na kla mtu hasa wadada hvo kama ni mzee wa totoz that is your starting point.MREJESHO:
Baada ya kupokea maoni ya baharia bway hermit na Sir_Mimi nilitafuta shilingi 30,000 nikadandia gari ya Kariakoo mpaka pale Msimbazi.
Nikanunua Blue for Men (perfume) bei yake 20,000. Nikaamua nichukue na spray yake 5,000.
Buku tano ilobaki nikaamua nichukue spray ya Fighting Temptation.
View attachment 1529976
Kweli nimezikubali mazee. Ziko vizuri. Hazikeri. Hazikereketi wala kuwapa watu mafua.
Changamoto:
Mbona sioni mademu wakinishobokea!
Zipo perfume maalumu ambazo zinachemical iitwayo pheromones ambayo mwanamke akiisikia basi mwili wake unasisimka na anapata hisia za mapenzi.ila zna bei, pia kuna zngne zna harufu tamu sana utasifiwe sana na kla mtu hasa wadada hvo kama ni mzee wa totoz that is your starting point.
Tafuta moja tu kati ya hz then litakalokupata iwe ni siri yako, hyo creed aventus bei ya chini ni tsh 900,000/=Zipo perfume maalumu ambazo zinachemical iitwayo pheromones ambayo mwanamke akiisikia basi mwili wake unasisimka na anapata hisia za mapenzi.ila zna bei, pia kuna zngne zna harufu tamu sana utasifiwe sana na kla mtu hasa wadada hvo kama ni mzee wa totoz that is your starting point.
Bei inategemea na mfuko wako ww niambie uwezo wako nitakutajia perfume nzuri.Unazijua?
Nitajie majina na bei zake. Chache tu
Creed 900,000 - 1000,000; cool water by David off 130,000/=, givenchy gentleman 290,000/=, club de nuit intense man 200,000/= zifuatazo zna range kuanzia 350,000- 480,000/= paron poivre, Fahrenheit, pacific rock moss by goldfield and banks, Percival,Pegasus,Layton na darley hz zote zimetengenezwa na perfume de Marley ambae anakimbiza soko la perfume hv sasa, blessed baraka by initio parfums zko nyingi sana hata mia zinafikaBei inategemea na mfuko wako ww niambie uwezo wako nitakutajia perfume nzuri.
Utagonga sana watoto, mm sitongozag ni usmart tu nakunukia nikiomba namba sinyimwi, juzi nimegonga mmaza mmoja hv alianza kunishobokea cjui unafanya kaz wap nikamwambia mission town tu akasema hapana kla sku uko smart na unanukia vizur mm napenda wanaume kama ww kilichofuata ni kutafunwa,hapa ninapoishi ni wengi ila cpend kuwa na wanawake ninapofanyia kazi na mazingira ya kitaani kwetu coz cpend vurugu
Mkuu pale msimbazi unaweza ukanielekeza ni duka gani.naona maduka mengi wanauza 25000MREJESHO:
Baada ya kupokea maoni ya baharia bway hermit na Sir_Mimi nilitafuta shilingi 30,000 nikadandia gari ya Kariakoo mpaka pale Msimbazi.
Nikanunua Blue for Men (perfume) bei yake 20,000. Nikaamua nichukue na spray yake 5,000.
Buku tano ilobaki nikaamua nichukue spray ya Fighting Temptation.
View attachment 1529976
Kweli nimezikubali mazee. Ziko vizuri. Hazikeri. Hazikereketi wala kuwapa watu mafua.
Changamoto:
Mbona sioni mademu wakinishobokea!
Mkuuu ulikula jokinglyBei inategemea na mfuko wako ww niambie uwezo wako nitakutajia perfume nzuri.
Utagonga sana watoto, mm sitongozag ni usmart tu nakunukia nikiomba namba sinyimwi, juzi nimegonga mmaza mmoja hv alianza kunishobokea cjui unafanya kaz wap nikamwambia mission town tu akasema hapana kla sku uko smart na unanukia vizur mm napenda wanaume kama ww kilichofuata ni kutafunwa,hapa ninapoishi ni wengi ila cpend kuwa na wanawake ninapofanyia kazi na mazingira ya kitaani kwetu coz cpend vurugu
Mkuu pale msimbazi unaweza ukanielekeza ni duka gani.naona maduka mengi wanauza 25000
Creed 900,000 - 1000,000; cool water by David off 130,000/=, givenchy gentleman 290,000/=, club de nuit intense man 200,000/= zifuatazo zna range kuanzia 350,000- 480,000/= paron poivre, Fahrenheit, pacific rock moss by goldfield and banks, Percival,Pegasus,Layton na darley hz zote zimetengenezwa na perfume de Marley ambae anakimbiza soko la perfume hv sasa, blessed baraka by initio parfums zko nyingi sana hata mia zinafika
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hizi commedy zinapatikana kwako. Duuuuh hatareeeeh sanaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Pita kuleeeh msieeeeeeew[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Cool water ina harufu tamu sana inaweza kukaa kwenye nguo wiki nzima ukifua nguo ukapiga pasi inarudi, kuna hot water na adventure zote za David off zitest mkuu usijali bei mkuuKama bei ndio hizo, acha niendelee kukimbiwa na mademu.
Angalau hiyo Cool Water ya 130,000 naweza jitutumua!
Hujatupa bei ya Sauvage.Cool water ina harufu tamu sana inaweza kukaa kwenye nguo wiki nzima ukifua nguo ukapiga pasi inarudi, kuna hot water na adventure zote za David off zitest mkuu usijali bei mkuu
Dior sauvage 368,000/=, pheromones 310,000/=, one million ya paco rabane 150,000/=, blue de channel 350,000/=, channel no5 300,000/=,ultramale ya jean Paul gaultier 100,000/=, Salvatore ferragarno120,000/=,lacoste noir intense 190,000/= I cannot count how many times I have been stopped and asked what iam wearing(smelling), been told I smelled like heaven siku hyo nilipulizia perfume inayoitwa stronger with you ya emporio armani yaani you smell sexy,mascular, fresh and sweet, niliinunua napoli mwaka jana kama Euro 160, nilipokuja padre mmoja hv akaing'ang'ania nikamwachie, kuna perfume ambazo hata ulaya ni expensive mf creed aventusHujatupa bei ya Sauvage.