Ulinzi shirikishi ni jambo zuri sana!
Maeneo ya vijijini limeonyesha kufaulu kwa asilimia kubwa kutokana na watu wake kujitolea au kupangwa kwa zamu!
Tatizo kubwa la ulinzi shirikishi mjini una harufu ya upigaji!
Kuna wakati huwa nashawishika kuamini huenda PANYA ROAD ni PROJECT?
Kwasababu iweje kila siku tuwe na jibu moja tu la ULINZI SHIRIKISHI?
Halafu cha ajabu makamanda wa vyombo vya dola wanaoshauri ulinzi shirikishi makwao wanalindwa na polisi/jeshi! BURE
Usalama wa RAIA ambae hana silaha ategemee ulinzi shirikishi wa KULIPIA!
Anyway! Ngoja tujadili huo ulinzi shirikishi wenyewe
Mfano! Kama watendaji wa mtaa au wenyeviti wataamua kuchangisha ulinzi shirikishi mjini kila kaya Tsh 10,000/= kila mwezi uhakika wa makusanyo na matumizi utaonekana wapi?
Chukua mfano kata moja mjini ina kaya 1000 au zaidi maana yake makusanyo ya mwezi ni zaidi ya 10mil
Maswali.
1. Uhalisia wa mapato na matumizi ukoje?
2. Nani anawajibika na usimamizi wa fedha
3. Kama mwananchi atachangia pesa ya ulinzi harafu dirisha lake
likakatwa au kuibiwa je nani mwenye dhamana ya fidia?
4. Endapo mwananchi hana pesa au hawezi kuchangia ulinzi anafanywaje?
5. Mkataba wa uchangiaji una dhamana ipi kwa mwananchi?
HILI SWALA LA ULINZI SHIRIKISHI KINADHARIA NI JEPESI SANA LAKINI KIVITENDO NI CHANGAMOTO!
naomba tupeane mbinu gani mnatumia mtaani kwenu kujilinda!
Mawazo yangu vikundi vya ulinzi shirikishi vingesajiliwa na kulipwa na polisi wenyewe!
Je wewe UNASHAURI NINI?
Maeneo ya vijijini limeonyesha kufaulu kwa asilimia kubwa kutokana na watu wake kujitolea au kupangwa kwa zamu!
Tatizo kubwa la ulinzi shirikishi mjini una harufu ya upigaji!
Kuna wakati huwa nashawishika kuamini huenda PANYA ROAD ni PROJECT?
Kwasababu iweje kila siku tuwe na jibu moja tu la ULINZI SHIRIKISHI?
Halafu cha ajabu makamanda wa vyombo vya dola wanaoshauri ulinzi shirikishi makwao wanalindwa na polisi/jeshi! BURE
Usalama wa RAIA ambae hana silaha ategemee ulinzi shirikishi wa KULIPIA!
Anyway! Ngoja tujadili huo ulinzi shirikishi wenyewe
Mfano! Kama watendaji wa mtaa au wenyeviti wataamua kuchangisha ulinzi shirikishi mjini kila kaya Tsh 10,000/= kila mwezi uhakika wa makusanyo na matumizi utaonekana wapi?
Chukua mfano kata moja mjini ina kaya 1000 au zaidi maana yake makusanyo ya mwezi ni zaidi ya 10mil
Maswali.
1. Uhalisia wa mapato na matumizi ukoje?
2. Nani anawajibika na usimamizi wa fedha
3. Kama mwananchi atachangia pesa ya ulinzi harafu dirisha lake
likakatwa au kuibiwa je nani mwenye dhamana ya fidia?
4. Endapo mwananchi hana pesa au hawezi kuchangia ulinzi anafanywaje?
5. Mkataba wa uchangiaji una dhamana ipi kwa mwananchi?
HILI SWALA LA ULINZI SHIRIKISHI KINADHARIA NI JEPESI SANA LAKINI KIVITENDO NI CHANGAMOTO!
naomba tupeane mbinu gani mnatumia mtaani kwenu kujilinda!
Mawazo yangu vikundi vya ulinzi shirikishi vingesajiliwa na kulipwa na polisi wenyewe!
Je wewe UNASHAURI NINI?