Tujuzane: Je, mkoa gani wenye Wasanii wengi?

Tujuzane: Je, mkoa gani wenye Wasanii wengi?

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Habari za kushinda wakuu.

Uzi huu nataka tujuzane je, ni mkoa gani wenye wasanii wengi hapa Tanzania? Hapa naongelea wasanii wote kuanzia waigizaji, waimbaji na wachekeshaji. Je, itakuwa mkoa gani unaongoza hapa Tanzania. Tunaweza saidia kutaja wasanii na mikoa watokayo ili tufahamu zaidi.

Kwa mfano mimi ninao fahamu kwa kila mkoa ni;
Arusha- Nikki wa pili, Mara- Nikki Mbishi, kilimanjaro- Vanessa Mdee, Tanga- Romma mkatoliki, Mwanza- Fid Q, Kagera- Saida karoli, Shinyanga- Lady jayde, Geita- Magambo, Dodoma- Ben paul, kigoma- Baba levo, Mbeya- Rayvanny, Njombe- B2k, Mtwara- Harmonize, Morogoro- Stamina, Ruvuma- Brother K, Tabora- Shilole, Pwani- Maarifa, Dar es Salaam- Dully Sykes.

Na mikoa mingine pia, unaweza ongeza wasanii wengine na mikoa watokayo ili tujue wapi kuna wasanii wengi.
 
Kwa Vanessa umekosea, yule ni wa Arusha,
Kwa mkoa wetu Ruvuma.
Foby,
Rose Ndauka,
Grace Mapunda,
Mrisho Mpoto
Professor Jay
Lucy komba
Mr T Touch
Jokate Mwegelo
Brother K
Bambo
Etc
 
Nimedokezwa...
Mwanza ni hawa.
Fid Q, young killer, baraka the prince, Ghetto Ambasodor, Six o'clock, Goodlack, dogo D, HBaba, Dudubaya, july tax, saradini, Nkunda star n.k
 
Pwani

Kingwendu
Jafo
Mchengerwa
Keisha
Jk
Dula makabila

Dsm
Crazy GK
Mzee Yusufu
Zembwela
Alicom
Dr kumpeneka
Tundaman
Madee
Mr Blue
Abby Skills
Sister P
ZeyB
Juma Nature
Mchizi Mox
Jay Mo
TID
Polepole

Kigoma
Ndalichako
Isidori Mpango
Diamond
Recho
Chege
Alikiba
Banana Zolo


Kagera
Saida karoli
Dr Bashiru Ali
Lufufu Mkandala(Derick Erick)
Dube( Yanga wanamfahamu zaidi)
 
Pwani

Kingwendu
Jafo
Mchengerwa
Keisha
Jk
Dula makabila

Dsm
Crazy GK
Mzee Yusufu
Zembwela
Alicom
Dr kumpeneka
Tundaman
Madee
Mr Blue
Abby Skills
Sister P
ZeyB
Juma Nature
Mchizi Mox
Jay Mo
TID
Polepole

Kigoma
Ndalichako
Isidori Mpango
Diamond
Recho
Chege
Alikiba
Banana Zolo


Kagera
Saida karoli
Dr Bashiru Ali
Lufufu Mkandala(Derick Erick)
Dube( Yanga wanamfahamu zaidi)
Naona kuna list mpya ya wasanii mkuu hahahaa. Jafo, mchengerwa, ndalichako, pole pole, bashiru, mpango?
 
Tatizo uliza hao wasanii wa mkoani wapo wapi sahivi? Wote Dar?
 
Mbeya kuna Rayvanny, Mbeya Boy, S2Kz,Gigy money,Amber Lulu, Izzo Business, msamiati, Mtafya, n.k
 
Back
Top Bottom