By 2015 baada ya Lowasa kuamsha zake Chadema, ni Maghufuli Tu tokea CCM ndo alikuwa na uwezo wa kusimama kwenye jukwaa na watu wakamsikiliza ...sema jamaa kiburi na kujikweza ndo vilimharibu , nyalandu hata Abdul nondo Yule dogo mwenye mdomo mkubwa anamkalisha