Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Wanabodi, unasimamishwa na askari wa trafiki Kariakoo hana kitabu wala mashine ya elektroniki, anakukagua na kukwambia utalipia kosa fulani na kuwa kesho ukikutana na trafiki mwambie aku-printie risiti ukalipie. Unapofuatilia unakuta kweli umepigwa faini kwa kosa fulani, tiketi inasoma eneo la kosa ni Ubungo! Hivi hili liko sawa kweli kisheria na kimaadili ? Kwanini unapokamatwa na kutuhumiwa kosa akiwa hana mashine asikupeleke kituo cha karibu cha Polisi?
Vv
Vv