Tujuzane kwa wale wenye ndoto za kuhama nchi kwa ajili ya utafututaji

Official Ric

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
31
Reaction score
75
Habari zenu wanajukwaa,

Lengo la huu uzi ni kupeana Connection nje ya nchi hususani Fursa za kazi na ushauri kwa watu ambao wameshaishi nje ya nchi na ambao wako nje ya nchi

Kwa hiyo kwa wale wenye michongo nje ya nchi basi tupeane coz humu JamiiForums kuna Diaspora wengi tunaweza saidiana labda na sisi tulioko ndani ya nchi tutoke tukatafute maisha nje ya nchi

NB: Ushauri wako ni Muhimu kumsaidia huyu kijana mwenye ndoto za kuondoka nyumbani na kwenda kutafuta maisha na pia connection yako ni ya mihimu kumtoa huyu kijana mwenye hizi ndoto lakini pia unaweza kutukosoa kama unahisi hatuko sahihi.

SAMAHANI KWA UANDISHI MBOVU
 
Kwanini usitulie ukaheshimu mabandiko ya watu?
Nimesemq ukweli kwa sura ya utani na kwa Lengo la kuactivate uzi uonekane ili Wenye Msaada na madini wachangie , ndio maana sometimes nikiwa sina Cha kuchangia halafu Uzi wa maana nina comment vyovyote isipokuwa matusi hata neno "Duh!" ili Uzi uwe activated na ndio Lengo langu la kuchangia humu na sio kutomuheshimu mleta mada kwani hakuna mahali nilipomvunjia heshima.
 
Kama huna msaada kwanini usinyamaze?
Msaaada wangu ulikuwa post yangu hiyo ili kuactivate uzi na kuleta maneno hayo ili watu waniprove wrong wamsaidie mleta mada , hapo kitaalamu kama nimetoa Msaada kwa mleta mada tofauti na wewe ulivyoona.
 
Ni kweli.. bila hizi comments zako nsingeuona huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…