Tujuzane machimbo yetu pendwa ya nyama ya kitimoto

Tujuzane machimbo yetu pendwa ya nyama ya kitimoto

tibe_j

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
794
Reaction score
1,071
Pamoja na kuwa tunaandamwa sana na thread za kutishia afya zetu kisa kula nyama yetu pendwa, mimi kama mdau nashauri tuwapuuze tu na zaidi tufahamishane maeneo inapopatikana kirahisi popote Tanzania ili wadau tupate urahisi wa kufika na kusuuza roho.

Mimi kwa hapa jiji la Makondakta napendelea kwenda kwa "RAS" mitaa ya Mikocheni ama hapo Kontena CCM kama unaelekea hospital ya Kairuki ukitokea Victoria Mikocheni. Karibuni.
 
Wa Moshi tufike maduka ya chini barabara ya KCMC kuna kitimoto matata sana.

pale tatizo lake huwa ukifika unakuta hata oda 4 jikoni hivyo inabidi usubiri ila msosi wao ni mtamu nimewahi kula pale.
 
Keko machungwa
IMG_20210131_185322_929.jpg
 
Hawaii na Luddi's Farm ndo sehemu pekee nimekula kitimoto choma mpaka nikapiga saluti.
 
Back
Top Bottom